Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,503
- 57,043


Binamu nyama ya hamu... Hehehe usinikose katika umalkia wakoBinamu shukrani sana, Happy Valentine's day to you too ila angalia usigonganishe magari, maana wewe nae umo
Hahaha,haya bwana!.Binamu nyama ya hamu... Hehehe usinikose katika umalkia wako
Dooh,Moyo husukuma damu tu.Anyways,kama bado unauma meza panadol.Maumivu yakizidi muone daktari.Natania tu!.That z love bruh!.broken bt we still have to,hatuna namna.Ngoja mie nikae pembeni, jana tu nimeumizwa moyo wangu, wala sina muda kabisa, bora nichape kazi kwa kwenda mbele.
Jamaa wewe ulishawahi kukaa kwenye nyumba za kambi? NakufananishaNgoja mie nikae pembeni, jana tu nimeumizwa moyo wangu, wala sina muda kabisa, bora nichape kazi kwa kwenda mbele.
Na wewe upo usijali,ikipata pancha kule wewe unakuja Ku spareBinamu nyama ya hamu... Hehehe usinikose katika umalkia wako
Mhh!.Mkuu ngabu msalimie trump
Hahaha!.Tanzania ya viwanda.Naiona naiona.Na wewe upo usijali,ikipata pancha kule wewe unakuja Ku spare
Hey NzagambaTime for the hobgoblins of romance to strike!
Hey Nzagamba
Ha haa mwenzangu heri kulia kwenye range bajaji namwachia kuiHappy Valentines Day to all Jf Members kwa ujumla wake bila ya kuwasahau
*jje's
*Toto Tundu Stunter
*Faiza fox (hasimu wa wengi a.k.a mama wa ujinga)
*Miss chagga (huyu kasema atawachuna wanaume mpaka mbaki mifupa kisa ile ada ya ex Bf wake)
*Asprin
*Mshana (nakuja kutibu kucha I see)
*Valentina (mamaa wa kulia ndani ya Range)
*HR66 (kuna kukosea na kusameheana,hata kama hujaomba msamaha nimekusamehe)
*ISIS
N.B na wengine wote nawapenda sana
Shukrani mpendwa, na kwako pia.Washkaji Zangu eeh, STUNTER nawatakia Happy Valentines Day In Advance... joanah venossah ISIS miss_blossom espy LadyAJ rubii Shunie scorpio me ..... Wengine sijawasahau, nitawatag kadri nnavyowakumbuka, msimind kwa sana
Kwako pia stunterWashkaji Zangu eeh, STUNTER nawatakia Happy Valentines Day In Advance... joanah venossah ISIS miss_blossom espy LadyAJ rubii Shunie scorpio me ..... Wengine sijawasahau, nitawatag kadri nnavyowakumbuka, msimind kwa sana