Dooh!..hii nayo mubashara.
Ameen!.Nawatakieni nyote amani na upendo vidumu katika mioyo yenu daima
Huo msamiati "Hobgoblins" una maana gan?
Yes my dear. ...atakuwa happy na mchepuko wake!....Na wenye mipango ya kuchepuka siku io wawe blessed pia!.au?
Huo msamiati "Hobgoblins" una maana gan?
Huyo wa kuchuna watu mwambie nauza visu.
akipita hapa atakupa oda upeleke vingapiBasi nitafsilie dogo ngedere ngabuHuo siyo msamiati.
Mhh,kumbe michepuko ipo ya aina mbili!..Good ones na Bad ones au nmeelewa vibaya.Yes my dear. ...atakuwa happy na mchepuko wake!....
A MAN AND A WOMAN LOVE BRINGS BLESSINGS IN THE WORLD. ...sio mchepuko wa kumwonea mwingine. .
Asante sanaNawatakieni nyote amani na upendo vidumu katika mioyo yenu daima
Yop. ..kwani mke number 2,3 and 4 wanatoka wapi?Mhh,kumbe michepuko ipo ya aina mbili!..Good ones na Bad ones au nmeelewa vibaya.
Haiya,Utajiri nauona ulee!.Nimegundua hii valentine day nayo fursa pia.![]()
![]()
akipita hapa atakupa oda upeleke vingapi
waoooo, yaan hiyo siku itakuwa very spesho zaidi ya leo nahis. Nimekuzoea but the day I promise to bring some new ideas and wot wot.
Doh Aisha wee
Umesema mke,uyo yupo legalised sio mchepuko uo!Yop. ..kwani mke number 2,3 and 4 wanatoka wapi?
Dooh!. stunter nakuona nakuona.waoooo, yaan hiyo siku itakuwa very spesho zaidi ya leo nahis. Nimekuzoea but the day I promise to bring some new ideas and wot wot.
Aye... Am still waiting, I know u wont let me down bebe, lets make something new special, till jelousy people get hang themselveswaoooo, yaan hiyo siku itakuwa very spesho zaidi ya leo nahis. Nimekuzoea but the day I promise to bring some new ideas and wot wot.
Shemeji yako huyo...Dooh!. stunter nakuona nakuona.