uwiiiiii, nitalia na nani mie. Kwa hiyo Vale ndo kakudanganya mie shosti yake? mlikuwa wapi hadi muongee hayo maneno mingi mingi hivyo?
Numbisa njoo my dear nisaidie sitaki kina
Raimundo na
Bonny wanisaidie kabisa maana naona lao moja.
Please njoo haraka maana moyo umeshaanza kusahau kazi yake.