Valentine's day special greetings Zone

Valentine's day special greetings Zone

Poa kaka,

Nimeshangazwa na kitu kimoja hapa MMU, naona KE wanatia juhudu kutuma salamu za V day kwa ME na ME vile vile....!!

Ndiyo kawaida yetu kwamba mie na wakubwa wenzangu Asprin, Kaizer, The Boss, Mbu. Mtambuzi hatutakiwi kutumiana salamu?

Kwamba lazima niwatumie tu akina Fixed Point, snowhite, MwanajamiiOne, gfsonwin, Kaunga, Nyamayao, Paloma na wadogo zao wengine??

Kama ni mwiko basi mie nauvunja...

Nawatumia salamu za heri na baraka wana MMU wote (wakubwa kwa wadogo bila kujali wako upande gani kibaiolojia)...

Mzee mwenzangu haka kasiku wala hata sikaelewagi. Ila kama yatupasa nasi twende kwa wakati. Basi acha nami niwatakie siku njema kama ifuatavyo.

Baba na mama yangu
Mke wangu na wanangu
Kaka zangu na dada zangu
Majirani zangu
Ndugu jamaa na marafiki
Maadui zangu.

Pia kwa heshima ya pekee wana JF wote hasa wazee wenzangu na wajukuu zangu.

Mwisho bila kuzingatia umuhimu, wale wote walionitaja humu kunitakia heri.

Na walaaniwe wote wanijuao humu lakini hawajanimenshen, iwe kwa makusudi au bahati mbaya japokuwa nawatakia kifo chema sana. Nawaahidi mabinti kuwa ntawarithi. ikitokea wanaume zao wakifa, (si kwa kifo kilichosababishwa na kuugua kwa muda mrefu) na vidume ntavisaidia kuwari thi wanawake zao.

Muwe na siku njema watu wa Mungu.

Samahani kama nimewakwaza.
 
Last edited by a moderator:
images


I love youu my babu Asprin, Eiyer mjanja sana, amehakikisha hujaona.
Unamshika simba sharubu eeeeeehh?

Hujui hata kama simba akizeeka ni simba tu?
 
Kakajambazi yuko wapi na matola nataka nione waliowaandikaa
 
Back
Top Bottom