Valentine's day special greetings Zone

Valentine's day special greetings Zone

Poa kaka,

Nimeshangazwa na kitu kimoja hapa MMU, naona KE wanatia juhudu kutuma salamu za V day kwa ME na ME vile vile....!!

Ndiyo kawaida yetu kwamba mie na wakubwa wenzangu Asprin, Kaizer, The Boss, Mbu. Mtambuzi hatutakiwi kutumiana salamu?

Kwamba lazima niwatumie tu akina Fixed Point, snowhite, MwanajamiiOne, gfsonwin, Kaunga, Nyamayao, Paloma na wadogo zao wengine??

Kama ni mwiko basi mie nauvunja...

Nawatumia salamu za heri na baraka wana MMU wote (wakubwa kwa wadogo bila kujali wako upande gani kibaiolojia)...

Mkuu hawa watoto wana matatizo sana

Mimi nimewatumieni nyote bila kujali mammbo ya baiolojia

Sasa sijui walikuwa wanamaanisha nini walipokuwa wanasema umtumie wa jinsia tofauti na yako

Nimeshauvunja mwiko huo tayari!!
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa. Lols. Malizeni V day kama unavyoiita then tupange upya.

Safi sana,

Unajua nini Karucee....leo kuna bonge la party ya wawili wawili hapa Ta....

Unakaribishwa sana aisee.....

Babu na Bibi leo wanasakata rumba kwa kwenda mbele!!
 
Last edited by a moderator:
Safi sana,

Unajua nini Karucee....leo kuna bonge la party ya wawili wawili hapa Ta....

Unakaribishwa sana aisee.....

Babu na Bibi leo wanasakata rumba kwa kwenda mbele!!
Hahahaaaa. Lols. Sipati picha.
 
Last edited by a moderator:
Many are the Stars I see,but in my Eye no star like Friends I see in Jamiiforum.

Happy Valentine's Day y'all. Heaven on Earth , lara 1 , charminglady , Evelyn Salt , farkhina , miss chagga , Karucee , Kaunga , Madame B and all beautiful ladies of MMU.

Nawe shiriki kwa kuwa-mention na kuwatakia salamu za siku ya valentine rafiki zako wa JF wa jinsia tofauti na yako.

Happy valentine to my love Husninyo, my shem Heaven on Earth, rafiki yangu Mamndenyi, dada yangu MMAHE na wengine wote wadau wa MMU.
 
Last edited by a moderator:
Happy valentine to mwekundu Dancani Mentor Elli Excel kaizer Mtambuzi,,,
bila kusahau special greetings to my lvly huzbend CYBERTEQ.

OMG! ahsante sana wa ubavu wangu;
Hakuna maneno yanaweza kueleza penzi langu kwako,
Hakuna mfano wa jinsi navojiskia nikiwa na wewe,
I'm short of words, just come close...
..lean on me, close your eyes, spread your wings...
..let your spirit fly.......dream away...!
....YOU ARE MY VALENTINE!
 
OMG! ahsante sana wa ubavu wangu;
Hakuna maneno yanaweza kueleza penzi langu kwako,
Hakuna mfano wa jinsi navojiskia nikiwa na wewe,
I'm short of words, just come close...
..lean on me, close your eyes, spread your wings...
..let your spirit fly.......dream away...!
....YOU ARE MY VALENTINE!

du mkuu hapo kwenye spread your.....nusu niteleze ulimi kwa kusoma "legs".lmao
 
Hahhaaa. Thank you my dear Karucee
.

Nakumbuka mara ya mwisho nilisokotaga kipande cha gazeti nikazimua .... acha nikohoee na kuzimka!!!!. Afu kilikua na picha ya mrembo mmoja hivi matata ...you can imagine nilivyozimuka vizuri... Hahhaha

Many thanks and Much love.

Hahahaaaa. Lol. Kumbe zshawahi kuwa mtundu eh?
donlucchese sijuu yuko wapi? Nilikosea kummention.
 
Last edited by a moderator:
Tena nilikuwa nimepanga kucheza nae mchezo mzuri sana
Tena mtamu kweli kweli .....lol!!

Asante sana babu
Ukimuona KOKUTONA mwambie sio vyema kabisa anavyofanya .....lol!!

Yaani weweee, huyo ni babu yangu ujue, unataka anielewejeeee

Haya basi
images
 
JF members, "If you have only one smile in you give it to the people you love". Happy V'day.
 
Back
Top Bottom