Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 31,841
- 37,582
Chumba kipo tena cha kukutosha wewe na msindikizaji wako....
Ila naomba kukueleza kwa masikitiko kuwa hatutaweza kuonana this time....mie na bibi tunaenda kwenye party ya wastaafu huko Lushoto....ila kama unataka kukomazwa ungali katoto naweza kukupatia address!
Ningekuwa sijastaafu ningekuimbia huu wimbo....but any way.... Ni zawadui yangu kwa hata kwa wadau wengine ambao watakumbwa na mambo kama hayo!
Dahhhhhhhhhhh.......nishakukosa.
Mie bado mtoto.....naogopa.
Last edited by a moderator: