ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
Kusema hivyo ndugu zangu manake nini? Hamtaki shemeji? miss chagga kajitolea pale kushikilia mapesa Ennie mkubwa mwandaa kitchen party...ndugu zangu mnasua sua hamnitakii mema au?Kwanza aweke picha tumuone asije kua ndugu yake na Remy
Kwanza aweke picha tumuone asije kua ndugu yake na Remy
Nakutakia mema always twin sister!!Kusema hivyo ndugu zangu manake nini? Hamtaki shemeji? miss chagga kajitolea pale kushikilia mapesa Ennie mkubwa mwandaa kitchen party...ndugu zangu mnasua sua hamnitakii mema au?
Ukiona hivyo jua nakutakia mema,''akili za kuambiwa changanya na za kwako"!Na sio kila ving'aavyo ni dhahabu pia mshike vema akupandaye ndiyo dhahabu hiyo vinginevyo you may wake up in the morning and realize that you have lost diamond while you were too busy collecting stones!!
Asante twin,ila nahisi kuyumba kimsimamo,wanandugu wameingilia katiNakutakia mema always twin sister!!
Looh,maneno mazito haya yananifanya nihisi kubadili maamuzi
Asante twin,ila nahisi kuyumba kimsimamo,wanandugu wameingilia kati
Mchepuko wako #kaizer # anakujali na yupo makin hawez sema neno bila kuwa na uhakika ...anacheki ac ya @75mm tujue chanzo chake
TunatAka uwe na ndoa sio ndoano#gilesi# wengi siku hiz
Tunataka tujue ukidume wake.
Asante twin,ila nahisi kuyumba kimsimamo,wanandugu wameingilia kati
Umakini muhimu twin,fanya home work yako vema ukijiridhisha family ipo to give you the support you need.
Umenikumbusha mbali sana
Ivi shem unakumbuka ile siku mlipotoka kucheza mpira mkanisubir mm natokea kisiman kuchota maji? Ila nyie mliiangaika sana na hii imesaidia kujuana vyema kuanzia familia na tabia ndo mana ndoa Yang ina upendo siku zote Mokoyo my California king bed.