Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 20,381
- 42,307
Huku mvua tuu inazidii haaahaa.. isije kua CCM wamepiga bomu la mvua kama zile za LOWASSALeo sisikii hata gari zikipita huko barabarani kwani leo kuna nini?
You tube na CHATGPT kwangu hazifanyi KAZI
Nimenunua bando yas wamenidhulumu hapa pesa zimekatwa bando halijaja
Mimi na SIMU smart zaidi ya mojaa