Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,529
- 13,501
ahahahhahah imagine!
yani kizzuri na kibaya ni kipi!
yani bado watu wanamini katika miili hii ya nyama??
yani ndoa ingekuwa ni miiili basi sheshe!
kwana ujue wanaodhani na kuamini mafanikio na mapungufu ya ndoa/mahusiano ni kutokana na maumblie bado wana kai sana na hatua ndefu kweli ya kuielewa akili ya mwanadamu!
hakyamama watabaki sana kuganda kwenye vioo na kutukana vioo vyao!
MI NIMEOLEWA KWA KUWA NI MIMI!MAUMBILE YANGU SI MIMI!
umeongelea kitu cha maana sana DOGO, thamani ya mtu ni zaidi ya muonekano wa hili gamba ambalo Mungu katuvika. Imagine, hakuna mtu kwa uwezo wake amefanya kitu hadi ku'achieve' jinsi alivyoumbwa. Nimetokea kuwa jinsi nilivyo, si kwa juhudi au kazi ya mikono yangu; so kwanini nijidaie kwa kitu ambacho ni by chance tu nimekuwa nacho.
i am more than mwili mimi ni being ambayo ipo special; hakuna Kaunga wa JF (courtesy ya Pasco wa JF) mwingine duniani; na that is a whole lot of things. Lakini kuna watu 101 wenye sura au umbile kama la Kaunga duniani humu but they will never be ME.
Last edited by a moderator: