Uzuri wangu sasa umekuwa kero

Uzuri wangu sasa umekuwa kero

Ya yanga yanakujaje jamaniii...!


Shikamooo tena!

Mambo Remmy,

avatar16543_5.gif

yamejia hapo...:first:
 
Last edited by a moderator:
Ok kaka nimekuelewa bt mambo kama hayo 2mekutana nayo sana pind 2kiwa chuön bt chamsing we achana nao wajtangaze wawezavyo coz may be uwez jua km wana HIV/AIDS so we kambal nao then kwa uchaw we mwamin sir God 2
 
hahayaaaaaaaaaaa sasa wanaume kazi kwenu, biashara matangazooooooooooooo
 
Mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!!

Kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???

Naomba ushauri wenu. Naitwa handsome Boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!
every man with money is handsome-unajipigia promo ?utakuwa una element za ushangazi wewe ssio bure.halafu inaonyesha ni jobless
 
Ee bhana kuwa makini tumia akili yako ujue umhimu wako wa baadae.
 
...Hali yako kifedha ipoje handsome boi...kama kidogo haijanyooka tutaftane...nna mil 5 na altezza silver metallic ya kukuzawadia...kidogo tu....haita uma...
 
Mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!!

Kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???

Naomba ushauri wenu. Naitwa handsome Boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!

Usije ukawa ni Bwabwa
 
Back
Top Bottom