Uzuri wangu sasa umekuwa kero

Uzuri wangu sasa umekuwa kero

Mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!! kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???naomba ushauri wenu.Naitwa handsome Boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!


Nina mashaka na uanaumme wako. Mimi nilidhani demu wa kona bar pale.
 
We are all fine..no more complaints though kwetu ni huzuni kubwa kumpoteza mmoja kuliko kubaki na wengine tisini na kenda. Why don't u come back sweetheart??!

Ever forward never backward. Huu ndio motto wangu
 
lol.......hili ni janga jamani, wanaume wameanza kujisisfia sura sasa wadada tutasemaje? ndo maana siku hizi hawatoki kwenye dressing table. au ndo unataka kuikubali sheria ya cameroon?
Janga si kidogo hilo japokuwa siku hizi ni kawaida kusikia wadada hasa kwenye hizi radio zetu wakisifia jamaa yake ana sura na umbo lenye mvuto (very handsome kwa msisitizo), na wanaume nao siku hizi wameanza nao kujisifia baada ya kuona kuna wadada wanajisifia.
 
We ----- kweli nani laikwambia kuna mwanamume mzuri duniani ni nani, njiuavyo mimi wanawake ndiyo wazuri maana wa oni maua ya dunia na wameumbwa kutufurhisha sisi ama na wewe una sifa hizi nini mwanangu umejidharirisha kinoma ati.....! Sorry kama imekuinsult...si nia ynagu
mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!! Kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! Na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.jamani nifanye nini ???naomba ushauri wenu.naitwa handsome boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!
 
Ever forward never backward. Huu ndio motto wangu

sheria zimewekwa ili zivunjwe..sembuse motto....chomelea mbali urudi kwa kidum chako cha ukweh!!! wahenga wanasema, "why burn in the sun while everything is under one roof!"
 
sheria zimewekwa ili zivunjwe..sembuse motto....chomelea mbali urudi kwa kidum chako cha ukweh!!! wahenga wanasema, "why burn in the sun while everything is under one roof!"

Kidumu cha ukweh ni Mentor? kidumu kinaitesa ndoo aka mie sitaki kulizwa na wewe nshakuchoka
 
Last edited by a moderator:
daaaaaaaaaaaaaaaaadeki!
mwanaume anajisifia ana umbo zuri!
ahahahhahahahhahahha cha! Kaunga mambo ya aina hii yakitokea uwe unaniambia bana!:A S 101:
 
Last edited by a moderator:
Picha yako tafadhari
sijawahi kusikiakauli ya mwanamme akijisifia uzuri tangu nizaliwe wewe ndio wa kwanza looo
 
Mara nyingi utawasikia baadhi ya watu wakijirahumu kutokana na kufikiri kuwa sura zao na maumbo yao kutokuwa na mvuto kwa watu ambao wangependa kuwa nao katika mahusiano (Mapenzi) lakini kwangu mimi sura yangu na umbo langu sasa vimenifanya kukosa amani,furaha na uhuru wa kuwa na mahusiano na nimpendaye na kufikia kusema maneno ya kumkufuru Mungu kwamba labda alinipendelea alipokuwa ananiumba!!!! kwani nimekuwa nikigombaniwa na kila msichana na wengine wamekuwa wakinichukia eti kisa sitaki kuwa nao kimapenzi pia wengine wamekuwa wakinitangaza kuwa mimi ni mchumba wao na wengine wamekuwa wakiniomba namba za simu na kunipigia wakibembeleza kuwa na mimi na mbaya zaidi wasichana wengine wamediliki kuanza kutumia nguvu za giza ili wanipate!! na mambo mengine mengi nimekutanayo mara baada ya kuingia utu uzima.Jamani nifanye nini ???naomba ushauri wenu.Naitwa handsome Boy kama wao walivyonibatiza!!!!!!!!

This is your private business.
 
daaaaaaaaaaaaaaaaadeki!
mwanaume anajisifia ana umbo zuri!
ahahahhahahahhahahha cha! Kaunga mambo ya aina hii yakitokea uwe unaniambia bana!:A S 101:

nitakuwa nakustua mwaya; halafu watu wanasema wanaume wapo.
Naye haoi kwa kuwa ni mzuri sana. LOL
Kuna uzi wa bidada mmoja anauliza eti wazuri hawaolewi; nikasema kumbe mimi siolewi kwaajili ya uzuri, na ninyi mliolewa mko less cute. LOL
 
nitakuwa nakustua mwaya; halafu watu wanasema wanaume wapo.
Naye haoi kwa kuwa ni mzuri sana. LOL
Kuna uzi wa bidada mmoja anauliza eti wazuri hawaolewi; nikasema kumbe mimi siolewi kwaajili ya uzuri, na ninyi mliolewa mko less cute. LOL
ahahahhahah imagine!
yani kizzuri na kibaya ni kipi!
yani bado watu wanamini katika miili hii ya nyama??
yani ndoa ingekuwa ni miiili basi sheshe!
kwana ujue wanaodhani na kuamini mafanikio na mapungufu ya ndoa/mahusiano ni kutokana na maumblie bado wana kai sana na hatua ndefu kweli ya kuielewa akili ya mwanadamu!
hakyamama watabaki sana kuganda kwenye vioo na kutukana vioo vyao!
MI NIMEOLEWA KWA KUWA NI MIMI!MAUMBILE YANGU SI MIMI!
 
Picha yako tafadhari
sijawahi kusikiakauli ya mwanamme akijisifia uzuri tangu nizaliwe wewe ndio wa kwanza looo

na anayejisifia kwa umbo zuri je!\
yani hapa naimagine umbo zzuri la mwanaume ni 4 figure,3 figure?
hahahhahaha watu wana kazi sana na akili zao i see!
 
Back
Top Bottom