Husninyo
Platinum Member
- Oct 24, 2010
- 24,167
- 10,226
We unapenda busara au sura?
busara.
We unapenda busara au sura?
busara.
ongezea ndio. Mi nakupenda we una mabusara sana ila watu hawajakuvumbua tu.
ATM ilileta shida kidogo , nakuja kulipa babu usijal. Ongeza na nyingne 2.
KudadadekiiNyie mabinti wote mnapenda niongeze siyo?
Ngoja niongee na bibi yenu kama ataniruhusu.
KakaJ ntake radhi la sivyo naandamana kwa miguu from Ar to huko uliko, nkifika ndo utajua kama miguu yangu ni mibovu au la!kwa iyo sweetlady anamiguu mibovu licha ya utamu wake sio?
Mkiamua kujadili kila kiungo chetu, hamtomaliza. Na hata mkimaliza hamtopata jibu sahihi.
KakaJ ntake radhi la sivyo naandamana kwa miguu from Ar to huko uliko, nkifika ndo utajua kama miguu yangu ni mibovu au la!
Wewe tena? Ya kurudi ntalipa mimi honey!Thanks for the Info Sweetie. Nikipata nauli ntakuja Arusha. Naamini utakuwa mwenyeji wangu.
Utamu wa mashine ni relative term. Ni suala la kisaikolojia zaidi. Ukishapenda, regardless of anything, mashine itakuwa tamu. Utamu wa ile kitu si sawa na sukari, kwamba ina ladha moja....Utamu hutegemea na mtu na mtu.....yaweza kuwa tightness, joto, namna anavyoitumia, miguno anayotoa, caressing, positions et el.
Kama mimi sina mahaba na miguu, haimaanishi mwanamke akiwa na miguu mizuri lazima atanipa utamu wa mashine yake kitandani...NO WAY!....babu anarudia tena....MIGUU SIYO KIGEZO CHA UZURI/UTAMU WA MWANAMKE.
Babu anarudi kitandani kuuangalia uzuri wa sura ya bibi yenu.
Wewe tena? Ya kurudi ntalipa mimi honey!
Thanks for the Info Sweetie. Nikipata nauli ntakuja Arusha. Naamini utakuwa mwenyeji wangu.
KakaJ ntake radhi la sivyo naandamana kwa miguu from Ar to huko uliko, nkifika ndo utajua kama miguu yangu ni mibovu au la!
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Re: usafiri wa mwanamke.......kipimo cha uzuri wake? [/B]
Kwetu sisi wabongo usafiri ni kiungo muhimu sana kwa mwanamke... usafiri mzuri unampa uhuru wa kuchangua nguo za kuvaa kwa amani sana, kinakufanya ujiamini zaidi barabarani, hata kwa wanawake wenzio.......... la sivyo utasikia, huyu naye, milonjo mibaya kama nini na haoni hata aibu kuionyesha!!!!!!
hata mi nimesikia hivyo japokuwa sikufanyia utafit so inawezekana
we acha tu....em ngoja niangalie miguu yangu then niende room nijiangalie undani wangu kama naweza gundua kitu.....kazi kweli kweli....:A S 39:
Babu anayaweka hayo moyoni mwake wakati akielekea kitandani kupumzika.
Muwe na siku njema wapendwa.
Wikiendi iwe ya amani.
Mtumie vikojoleo vyenu kwa makini visije vikawaleteeni maswahibu.
Ni lini utaweka picha ya avatar wako humu SweetLady?
Unapenda avatar eeh? Ntaweka usijali.