nani kakufundisha uongo?
...............na ukiona dume limenuna je?
Hana shekeli.
Yaani Husninyo ungepatiwa picha ya mwanaume anayemuota mwanamke yeyoye... ungeshaaa...
UKIONA MWANAMKE KANUNA KILA SIKU UJUE, ANA MUME KIMEO. imedhibitishwa na shirika la viwango vya ndoa
View attachment 38594
Habari wana JF.Je uzuri wa mwanamke ni makalio au maziwa(matiti).?.
We unaonaje?
Uzuri wa mwanamke upo moyoni mwake, huwezi kuujua mpaka uishinae kwa muda fulani.
Wewe unadhani jibu ni nini?
mi naona ni miguu na jicho mnato.........