fareed623
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 218
- 229
Halafu hapo wachovye kwenye asali, utajilamba
Halafu hapo wachovye kwenye asali, utajilamba
Mechi ya liverpool na chelsea?
Umekumbuka ndimu na pilipili lakin?
Urefu 5.7
Kgs 50

Umevipikaje hivi vina vutia. Tupe ingredients
Mkuu shikamoo!
Naona njegere, hoho, carrot, nyama na viazi... Nahisi kuvimix hapo utaweza.Umevipikaje hivi vina vutia. Tupe ingredients
NdiyoDuuh wewe ni mwembamba sana... mimi tu urefu wangu 5.5 nina kg60 ila bd niko mwembamba![]()


Kesho natafunia kwa kitimoto!Matumizi mabaya ya kwio