Uzi wa vyakula tu

Hiyo mboga kiporo cha jana namalizia leo na ugali. Ugali nitasonga baadae nao niuweke? Ila nyumba yangu hawapendi ugali wanasusa hawali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] najikuta nakula mwenyewe.
Lakini namuambiaga dogo ukiwa na kwako utachagua msosi hapa unakula ninachotaka mie.
Nimeona mboga tayari

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji848][emoji1][emoji1][emoji1]
Jr[emoji769]
 
mie mpenzi wa ugali kuliko wote nyumbani unajikuta unakula pekeako tu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…