Bado 3 tu zitimie saba
Jr
Hakuna chakula ambacho huwa kinaadhibu kama kande!
Matikiti maji na kachumbari tuu
Cha mtume
View attachment 1327624View attachment 1327625View attachment 1327626 Lunch yangu ya Leo cooked by me
Salad
Wali wa asumini
Prawns wa oyster sauce
Sent from my iPhone using JamiiForums