Bro. Hizi chips utakuwa ume download Google. Asubuh yote hii.
Hata wewe unatumia hii Missyrose???
Safi sana, ukimaliza hii unapiga na kale kakonyagi kasichana. Niko vzr sana
Hata wewe unatumia hii Missyrose???
Mhhh!! U-Miss upo kweli?? Na hii mboga ni shida sana kwenu kwa upande wa body fats!!Natumia kwa mbaali babu
Astaghafilullah..!!!!
Mhhh!! U-Miss upo kweli?? Na hii mboga ni shida sana kwenu kwa upande wa body fats!!
natumia kwa mbali sana, labda mara 2 au 3 kwa mwezi. Haijaathiri u-Miss wangu hahah
Nyama zote hizo unakula mwenyewe
Huu uzi nitakuja nikiwa sina njaa