Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,379
- 88,735
Wawili hapoChote hicho peke yako ?
Wawili hapoChote hicho peke yako ?
Safi kabisa.
Hpo ingepatikna sauce yake naweza kula hdi nikajisahau.

Aisee .Mnakula kijamaaWawili hapo
Yanu weee kila ijumaa kwa sele bongeKaribuni View attachment 918846

. Umenikumbusha enzi zangu za uroho. Ijumaa hunikosi jumapili birian kuku hunikosiYanu weee kila ijumaa kwa sele bonge. Umenikumbusha enzi zangu za uroho. Ijumaa hunikosi jumapili birian kuku hunikosi
Naombeni picha ya makange ya kuku wa kienyeji walau minyoo yangu itulieKaribuni View attachment 918846
Mkuu imekua vizur umetaja hilo neno makange.Naombeni picha ya makange ya kuku wa kienyeji walau minyoo yangu itulie
Kama ashua sina picha yake hapa Loh...
ni picha ya hio makange sio naniliu.Sawa ukiipta unitumie namie bas.sina ndio maana nikaiomba
Download tuKama ashua sina picha yake hapa Loh...
Aisee..vitu on pointKaribuni View attachment 918846
Karibu Na hukuAisee..vitu on point
Embu ongeza hicho chakula,nije kula..hicho hakinitoshi kabisa...Karibu Na hukuView attachment 919210
Kingi sana Nina njaa kweli Leo dieti tupa kuleEmbu ongeza hicho chakula,nije kula..hicho hakinitoshi kabisa...
Kingi sana Nina njaa kweli Leo dieti tupa kule
Nitajazia nanasi .njoo unitengenezee jamani naona uvivu nimechookaMbona kwenye picha yako kipo kidogo sasa??