Makande na mixer parachichiUmepika nini we dogo picha haijafunguka
Umenikumbusha kiwanja chetu pentagon pale mtwara.Bado niko nanjilinji chalii yangu, msosi wame Jitahidi Baada ya mwenyekiti kushikia panga wapishi😂🤣
Hahaha uli pakia Kweli kweliUmenikumbusha kiwanja chetu pentagon pale mtwara.
Nanjilinji kusema ukweli nilitafuna mapande ya nyama makuuubwa.
Nikaghairi nikala mihogo tu na miwa.
Samaki wa nangulukulu balaa.
Lindi si mchezo tulibidi kula Vip kule nbc vikuku vimekauka km kaukau eti vip.
Maana mama ntilie na wengine hawakuwepo mjini mda ule sa moja usiku.
Safari ilikua bonge la adventura.
Hasa kile kipande cha nangulukuru kwenda somanga na mbele huko tulikoma.
Niligusa tu maana tulikwama siku 3, zile sijui zilikua nyama pori maana si kwa ukubwa ule.😁Hahaha uli pakia Kweli kweli