BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
Ndiyo Darmian. Mbona ni kingi sana. Wewe usingeshiba? hahahahaKweli??
Mtori huo ukakushibisha hivyo ulivyoeleza?
Ndiyo Darmian. Mbona ni kingi sana. Wewe usingeshiba? hahahahaKweli??
Mtori huo ukakushibisha hivyo ulivyoeleza?
Chapati zaidi ya moja kwa mlo ni mtihaniChapati moja?
Kwa asubuhi ningeshiba ila nisingeshiba sana hadi kufikia kusema "Nimeshibaje".Ndiyo Darmian. Mbona ni kingi sana. Wewe usingeshiba? hahahaha


hii sahani vipi tena mkuu si ununue nyingineKwa mama ntilie😁hii sahani vipi tena mkuu si ununue nyingine
Ehe sawaKwa mama ntilie![]()

Mbona yametoka vizuri tu mpenzi 🤗
Supu nono😋Usiku wetu ukawe mnonoView attachment 2107959
Ladha iko poa ila muonekano sasaMbona yametoka vizuri tu mpenzi
Ladha ilikuwaje???

👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Ladha iko poa ila muonekano sasa![]()
Ndio umepika vikatuni gani hivi!!?






Umenitoa mate! Wapi hii?