babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 15,935
- 20,229
Firigiri sijui ninini?Na figiri au firigisi![]()
Figiri zipo mkuu, hizo na mboga moja salad nazipenda mno upate na mchuzi wa nyama
Firigiri sijui ninini?Na figiri au firigisi![]()
Jana na leo👍Jana na leo usikuView attachment 2030881View attachment 2030882
Safi zaidi ya sana. Mi hata ungeongeza samaki hapo sawa
Takapela linanogesha chakulaJana na leo
Takapela halikosekani Nkamu![]()

