Mkishaharibu uchumi leo.Kinaweza kisinuke ila inaathiri uchumi kama umekaaa Dar 7 7 haiwi hivii
Kati ya fisadi wa Ccm na mwananchi mlalahoi nani anaathirika zaidi?
Mkishaharibu uchumi leo.Kinaweza kisinuke ila inaathiri uchumi kama umekaaa Dar 7 7 haiwi hivii
Lengo halikuwa askari waandamane. Kama waliopanga kuandamana wameshindwa kutimiza agenda yao wakubali kwamba wamefeli big time.Maaskari wamewakilisha vema sana.Wameandamana kabla na hata baada ya 7/7 wataendelea kuandamana kwaeutii na bidii kubwa sana.Ujumbe umefika sehemu lengwa.
Uchumi unaothirika ni wakwetu wananchi unadhani jamaa hawatolipana huu mwezi?Kinaweza kisinuke ila inaathiri uchumi kama umekaaa Dar 7 7 haiwi hivii
Wapuuzi,,Wako busy kufuatilia kwenye Nyuzi matako yao hakuna mwenye pumbu za kuandamana nchi hii.
Gentleman!it's public holiday,
ni muhimu kupumzika nyumbani na hatimae baadae kujitokeza kwa wingi kwenye viwanja vya maonyesho ya kibaashara ya kimataifa sabasaba na itapendeza zaidi 🐒
Punguza hasira...anaetakiwa kutatua hili anajijua ila ameamua kukaa kimya...nchi inaumia sana..Wapuuzi,,
Vidonda bado vibichi vya 29 oct yalivyokuwa mapunguani yanatangaza maandamano na hayajui nani ataandamana.
nimefurahia wana dar es salaam wame dinda kubebwa ufala wa kifikra na chadema eti wakafanye maandamano haramu ya ghasia 🐒Gentleman!
Umeanza lini kupangia watu ratiba?...
MInd your own business.
Kaandamane shida 8ko wapihuelewi nguvu ya umma bado.
AsanteeeKimenuka huku Mwenge ITV tokeni msiogope
Njoo naye front
Keyboard fighters bado wako zao usingizini. Wavaa magwanda mko barabarani na mabunduki yenu mkiwasubiria watu ambao hawapo! Siyo kwa usumbufu huu.Keyboard fighters
Huku kimenuka tayariKeyboard fighters bado wako zao usingizini. Wavaa magwanda mko barabarani na mabunduki yenu mkiwasubiria watu ambao hawapo! Siyo kwa usumbufu huu.
Wapi tena huko mjomba! Isije ikawa wavaa magwanda wanalazimisha yatokee ili kutengeneza taharuki nyingine.Huku kimenuka tayari
Utajuaje ukiwa wewe ni keyboard fighterWapi tena huko mjomba! Isije ikawa wavaa magwanda wanalazimisha yatokee ili kutengeneza taharuki nyingine.