bongo-live
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 1,731
- 2,293
Apa mwenge pamenogaa
huelewi nguvu ya umma bado.Achana na maandamano mzee fanya kibarua chako pata unga kale na wanao hilo ndio fungu lako kutoka kwa mola wako... siasa na biashara hapo wanasubiri wewe ufe halafu wanasiasa waitane Ikulu kujadili namna ya kula keki ya taifa baada ya wewe kufa
Nimepita hapo bajaji, boda na watu wachache hata daladala pia.Apa mwenge pamenogaa
Kwa bedHuku Kimenuka
GoodAchana na maandamano mzee fanya kibarua chako pata unga kale na wanao hilo ndio fungu lako kutoka kwa mola wako... siasa na biashara hapo wanasubiri wewe ufe halafu wanasiasa waitane Ikulu kujadili namna ya kula keki ya taifa baada ya wewe kufa
Usimuingize Mungu kwenye upumbavu wakondio fungu lako kutoka kwa mola wako...
it's public holiday,Tunaanzia wapi wazeeView attachment 3624076
😂😂😂😂😂😂😂😂😂NImeshafika Magogini mbona Siwaoni
View attachment 3624086
Kinaweza kisinuke ila inaathiri uchumi kama umekaaa Dar 7 7 haiwi hiviiUkikuta wanavyopiga mikwara humu unaweza sema kitanuka kweli kweli.
Watu wanafiki sana humu, mnataka nani akawaandamie?? Haya toeni hizo pua zenu,, maisha hayajaribiwi matako yenu.
Wako busy kufuatilia kwenye Nyuzi matako yao hakuna mwenye pumbu za kuandamana nchi hii.Ukikuta wanavyopiga mikwara humu unaweza sema kitanuka kweli kweli.
Watu wanafiki sana humu, mnataka nani akawaandamie?? Haya toeni hizo pua zenu,, maisha hayajaribiwi matako yenu.
Acha mawazo ya kijingahuelewi nguvu ya umma bado.
Maaskari wamewakilisha vema sana.Wameandamana kabla na hata baada ya 7/7 wataendelea kuandamana kwa utii na bidii kubwa sana.Ujumbe umefika sehemu lengwa.Tunaanzia wapi wazeeView attachment 3624076