Ingawa nilikuwa sio me alikuwa rafiki yangu jamaa alikuwa kuadi haswa Tena wa maslahi tofauti na wengine wanafanya kishikaji nilikuwa nimesoma nae shule moja O' level na alikuwa anawajua mademu wengi pale shule na wengine nje ya shule.Masharti yake ya ukuadi yalikuwa Kama ifuatavyo
1.Akikupa no ya demu unamnunulia mihogo
2.Akikukutongozea demu mweusi unampa buku
3.Akikutongozea demu mweupe unampa buku tatu
4.Akikupa ghetto lake kwa ajili ya mambo yetu ni elfu 4.
Jamaa tulikuwa tunamwita Mr connection hiyo ilikuwa mwaka 2013 .Simu yake ilikuwa na picha nyingi za mademu anakuonesha wewe unachagua alafu mnaingia makubaliano kati niliyotaja hapo juu madomo zege wengi alikuwa wateja wake wakubwa.Jamaa alikuwa ana make hela nyingi Sana pale shuleni Kuna wakati anapiga mpaka elfu 50 kwa siku moja siku nyingine zaidi ya hapo.
1.Akikupa no ya demu unamnunulia mihogo
2.Akikukutongozea demu mweusi unampa buku
3.Akikutongozea demu mweupe unampa buku tatu
4.Akikupa ghetto lake kwa ajili ya mambo yetu ni elfu 4.
Jamaa tulikuwa tunamwita Mr connection hiyo ilikuwa mwaka 2013 .Simu yake ilikuwa na picha nyingi za mademu anakuonesha wewe unachagua alafu mnaingia makubaliano kati niliyotaja hapo juu madomo zege wengi alikuwa wateja wake wakubwa.Jamaa alikuwa ana make hela nyingi Sana pale shuleni Kuna wakati anapiga mpaka elfu 50 kwa siku moja siku nyingine zaidi ya hapo.