Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
2013 uko o-level? Uwe unaanza na shikamoo aisee we mtoto
Nakumbuka kipindi kile nilikuwa mjanja mjanja sana.. ila ni muoga wa kupindukia kwa madem..
Sasa kuna mshua flani akaomba namba zangu. Akanitaka tuonane. Bda ya vyakula na juice za kitonga Ndio mshua ananiambia kuna kazi nataka nikupatie..
Kuskiliza ni kazi gani. Kumbe kuna mrembo flani hivi mshua amefika bei. Sas kaniona mie ndio nafaa kwa kumuunganisha nae.. kuhusu pesa hakuna tatizo. Basi siku hiyo hiyo nikapewa20000 kwa ajili ya vocha ..
Mi nilichofanya, ni kumuambia yule demu. ' Oyah kuna mzee anakuelewa kisen**** na yuko na pesa ya kubadirishia mboga. Sasa usiniangushe.. '
Yule dada alikuwa hafanyi kitu bila kuniomba ushauri. Nami nikajikuta namla kimasihara..
Tukutane kwenye uzi wetu pendwa kwa kisa hiki cha kumla huyu dada kimasihara..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nilikuwa chekechea mwaka 20132013 uko o-level? Uwe unaanza na shikamoo aisee we mtoto
Kwani Uzi una tatizo gani?
Acha masihalaMimi nilikuwa chekechea mwaka 2013
Shikamoo kaka ni masikharaAcha masihala
UnatudanganyaShikamoo kaka ni masikhara
Kweli kabisa aisee! Mtoto mdogo!2013 uko o-level? Uwe unaanza na shikamoo aisee we mtoto
Umefunga pmWe mtu unavyoniandama,, sijui nilikunyima nini!! Poh
Naona braza umeamua kuchukua upande utetee jinsia KE with the hope or even the wildest dream that maybe.. just maybe she might pm you "i like you" and you may bang that one day.Wala isikusumbue, mutu anafurahisha genge tu na hafaidiki na lolote
Walau wewe kidogoKweli kabisa aisee! Mtoto mdogo!
Mwaka huo mimi niko mwaka wa Pili!
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu umeninukuu bila kuanza na salamu,,,Mimi nilikuwa chekechea mwaka 2013
Kisemee hapa hapaUmefunga pm
Me kipindi hicho nilikuwa Domo zege na nilikuwa nawaogopa mademu ile mbaya nikimuona demu ninaesoma nae darassa moja lazima nibadili njia.Uwoga wangu huo watu wengi waliujua Kama nimemuomba mwanafunzi mwenzako kitu Kama kitabu alafu ataki kunipa anasingizia nenda kwa yule demu ndo mwenye hiki kitabu umuombe akikukubalia nitakupa so anajua kwa uoga wangu kwa mademu lazima sitaenda kumfuata yule demu.Ukiachana na hapo pia nilikuwa siwezi kukaa siti pembeni Kuna demu.