Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,677
- 9,035
Wataniban nkisema apaKisemee hapa hapa
Wataniban nkisema apaKisemee hapa hapa
Naona braza umeamua kuchukua upande utetee jinsia KE with the hope or even the wildest dream that maybe.. just maybe she might pm you "i like you" and you may bang that one day.
Amka braza hapa sio USA na hii sio 1789
IhiiiiiiiiiNaona braza umeamua kuchukua upande utetee jinsia KE with the hope or even the wildest dream that maybe.. just maybe she might pm you "i like you" and you may bang that one day.
Amka braza hapa sio USA na hii sio 1789
Ihiiiiiiiii
HakipoUlimkosea nini huyu mtu
Shikamoo bibi, sie tupo majumbani tunasubiri corona iishe turudi shule!Halafu umeninukuu bila kuanza na salamu,,,
Hahahaha we mtu unavyohangaika
Haya nakupm
Hahahaha we mtu unavyohangaika
Haya nakupm
2013 uko o-level? Uwe unaanza na shikamoo aisee we mtoto
Labda anataka attention yako kwake, mwishowe mtakuwa marafiki wa kukata na shokaHakipo
Alikuwa anawatafutia wadada wenzake wapenzi?Ila huu Uzi umenikumbusha dada mmoja hivi chuo.. alikuwa kuwadi mzuri aisee..
Sent using Jamii Forums mobile app
Marahaba mjukuu wangu vipi unaweza nikuwadia kwa babu yako?Shikamoo bibi, sie tupo majumbani tunasubiri corona iishe turudi shule!
Tatizo unawahi kuelewa sana na weweHaya mmalizane huko mkirudi humu vibaki vicheko tu humu ..hahaha
Ndoa yangu bado changa we kijanaLabda anataka attention yako kwake, mwishowe mtakuwa marafiki wa kukata na shoka
Madogo wengi humu
Babu ni basha? Kumbuka mie ni mtoto wa kiume rijali na si Shoga au unataka niwe kiBen10 chako?Marahaba mjukuu wangu vipi unaweza nikuwadia kwa babu yako?