Mkono Mmoja
JF-Expert Member
- Jan 26, 2019
- 1,964
- 4,125
Habari zenu,
Uchumi wa nchi yetu unategemea sana sekta ya kilimo na ufugaji hivyo nimeona sio vibaya kama tukisaidiana kuweka softcopy za vitabu mbalimbali vya kilimo na ufugaji ili kusaidia kupanua maarifa na ujuzi katika sekta hizi.
Vitabu hivyo viwe katika mfumo wa (softcopy) yaani PDF.
karibuni nyote.
Uchumi wa nchi yetu unategemea sana sekta ya kilimo na ufugaji hivyo nimeona sio vibaya kama tukisaidiana kuweka softcopy za vitabu mbalimbali vya kilimo na ufugaji ili kusaidia kupanua maarifa na ujuzi katika sekta hizi.
Vitabu hivyo viwe katika mfumo wa (softcopy) yaani PDF.
karibuni nyote.