Kaudunde Kautwange
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 1,600
- 1,567
Mkuu, kuna hii Kwaya ya kinondoni revival Kwaya.audio au video?
Waliimba ule wimbo w Wrong number... Msaada please
Mkuu, kuna hii Kwaya ya kinondoni revival Kwaya.audio au video?
Mkuu Hao naioth singer Nina album yao yote.. Sema nashindwa weka, yaani Ku uploadKuna nyimbo wameimba naioth prophet singers angukia mikononi mwa bwana.
Victoria singers nyimbo yoyote kwenye album ya Television ya maisha
Kama unatumia jamii forum app ni ngumu ku-upload inatakiwa uingie kwa kutumia browser ya kawaida (eg chrome, mozilla). Kama bado itasumbua ni quote nikutumie namba unirushie kwa whatsappMkuu Hao naioth singer Nina album yao yote.. Sema nashindwa weka, yaani Ku upload
Mkuu unaweza nitumia kwa whatsApp?Mkuu Hao naioth singer Nina album yao yote.. Sema nashindwa weka, yaani Ku upload
Jiunge halichachiYa nne.. Bando limekata.. Ntaendelea baadae wapendwa
Kuna kikundi cha kwaya sikikumbuki waliimba nyimbo hii " Ng'oa kwanza boriti kwenye jicho lako, ndipo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako" nyingine ilienda hivi "Yesu alitembea kando ya galilaya aliwaona wavuvi simon mmoja wao. Simon Yesu alimwita, Simon, Simon Simon nifwate utakuwa mmoja wao...." 80s nilikuwa mdogo sana maneno nyimbo zilikuwa nzuri sanaWakuu,
Ninawiwa Kuhuanzisha Uzi Huu Ili Kuwaleta Karibu Wapenzi wa Nyimbo Za Injili za Zamani!
From the 80s,90s and the Early 2000s!
Kuanzia Barabara 13,Aict Shinyanga,Kijitonyama Upendo Group,Na N.k!
Naoma Tubadlshane Audios,Videos na Picha Waimbaji wa Zamani!
Old is Gold!
Nisaidie kujua huyu mwimbaji yupo wapi na pia kupata audio au video zake.
Anaitwa Nathanael Hingi. Mojawapo ya kazi zake za miaka ya 90 ni hii hapa kaseti yake.
View attachment 437519
Muungano Christian Choir!
Natembea Huku Marehemu!
Wimbo unaitwa Shida na Matatizo, uliimbwa na AICT Shinyanga Choir 1997, nikiupata nitauwekaKuna wimbo unaimbwa
Katika maisha yetu bwana yesu ni jawabu katika shida zetu ndiye yeye bwana wetu tusifadhaike.
shida zetu zoye yesu ata zibariki na kutupa raha nyingi siku zote.
Huu wimbo mwenye nao naomba hautupie na anayejua eameimba kwaya gan anisaidie.