kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,802
- 6,468
hahaha,kweli mkuu mimi ndio kumbukumbu ambayo nikiskiza nakumbuka vitu mama alikua anafanya enzi za uhai wake (R.I.P)mkuu hii inananikumbusha zama hizo bush,bimkubwa alikua anaificha hii kanda ili tusiiharibu