Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Aisee kuna wimbo unaimbwaga kipindi cha majilio...
Unaimbwa " nii yohana alia nyikani
Tengee.. tengeneza njia ya bwana apitee
Bwana apite apitee
Mungu apite apitee.. tengeneza njia ya bwanaa apiteee"
Mwenye nao naomba autupie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi natafuta wimbo wenye maneno..ndugu zangu mnaishi dunia yenye dhiki, jipeni moyo.....kibwagizo "jenga imani yako, kwenye mwamba imaraaa, mwamba wetu ni Yesu..Alfa na Omega"...sijui uliimbwa na kwaya gani zamani kweli
 
kama kuna mtu ana toleo la hii Kwaya lile la zamani. Naona sasa hivi wamebadlisha wameondoa vionjo vuake asilia
 

Attachments

  • kazaliwa emmanuel.mp4
    9.3 MB · Views: 123
Flashback Year 1997

Vumilia - Amana Vijana Centre (AVC)Band


This song is dedicated to all YOUTH, it was composed 1997 by Daniel Kyara (among AVC Band leaders) for AVC Band , the Band use to serve youth at AVC - Amana Vijana (youth) centre...The song became so popular in Tanzania and beyond - played in famous radios e.g Radio Tanzania, Radio one, Radio wapo etc also was put in as a backing music in some Bongo movies for tv!.
Source: Abel Orgenes

Huu wimbo ulinipaga moyo sana kama sijakosea miaka hiyo 1998 nikiwa sekondari nimetoka kupokea ugali maharage yenye wadudu
Dah basi kuna mtoto mmoja wa tajiri alifanikiwa kumiliki radio
Ukawa unapugwa radioni


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani una hii kwaya inaitwa MABALOZI WA YESU, nilipata kusikiliza Albam yao (nafikiri ilikuwa ya Kwanza) inaitwa NUCLEAR miaka ya nyuma sana. Nina hakika wengine mpo mliopata kuisikia pia na yawezekana wengine hii ni kwaya ya kwenu. Leo nimepata baadhi ya nyimbo zake kwenye link hii (youtube):



Kwa wale wanaoifahamu naomba mnisaidie kupata nyimbo nyingine ambazo hazipo kwenye clip hii kwa mfano
  1. Uzima wako (ambao umesikika ukiimbwa beti 2 za mwisho, audio baada ya wimbo wa mwisho)
  2. Wekeni hazina
  3. Neno la msalaba
  4. etc...
Note: Video inaelekea ni ya hivi karibuni kuliko umri halisi wa nyimbo hizi. Upo uwezekano kuwa waliohusika katika vide, wengine walikuwa hawajazaliwa au walikuwa watoto wadogo sana wakati nyimbo hizi zinaimbwa na kurekodiwa kwa mara ya kwanza kwenye mkanda wa kaseti (Audio tape)

Natanguliza shukrani.

Wanazidi kumchochea jamaa wa korea ya kaskazini hawa uficheni huu wimbo wasije fanyia majaribio huku

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanazidi kumchochea jamaa wa korea ya kaskazini hawa uficheni huu wimbo wasije fanyia majaribio huku

Sent using Jamii Forums mobile app

Waimbaji huwa wanaujumbe wa kila aina ''Silaha za Maangamizi'', ''Nuclear'' - Kwaya Mabalozi wa Yesu au ''Msiabudu America''- Faustin S. Munishi n.k ni kama vile wanauangalia ulimwengu na kufikiri scenario zilizopo na zinazokuja kufuata na Maandiko juu ya siku za mwisho kama zilivyo ktk imani.
 
Kuna wimbo nausaka ila siukumbuki jina na nimejitahidi kupitia huu uzi sijaupata naomba kama kuna mtu anaufahamu anitajie au aniwekee hapa nitashukuru sana..

Kwenye huo wimbo kuna maneno kama haya nadhani kwenye kiitikio hutamkwa ''Yesu aliteswaa msalabani watu wote tuwe huru,huru kweli kweli*2"....halafu ''haleluya aah haleluya aaah*4''
 
Kuna wimbo nausaka ila siukumbuki jina na nimejitahidi kupitia huu uzi sijaupata naomba kama kuna mtu anaufahamu anitajie au aniwekee hapa nitashukuru sana..

Kwenye huo wimbo kuna maneno kama haya nadhani kwenye kiitikio hutamkwa ''Yesu aliteswaa msalabani watu wote tuwe huru,huru kweli kweli*2"....halafu ''haleluya aah haleluya aaah*4''
Ni wa upendo kwaya kijitonyama
 
Kuna wimbo nausaka ila siukumbuki jina na nimejitahidi kupitia huu uzi sijaupata naomba kama kuna mtu anaufahamu anitajie au aniwekee hapa nitashukuru sana..

Kwenye huo wimbo kuna maneno kama haya nadhani kwenye kiitikio hutamkwa ''Yesu aliteswaa msalabani watu wote tuwe huru,huru kweli kweli*2"....halafu ''haleluya aah haleluya aaah*4''
Hao ni AIC Kambarage, enzi zile kesho nitakuwekea hapa
 
Back
Top Bottom