Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

Na mimi naomba mwenye nyimbo bora kabisa za kwaresma anisaidie. Na kuna mwingine wa majivu.
 
Wakuu,
Ninawiwa Kuhuanzisha Uzi Huu Ili Kuwaleta Karibu Wapenzi wa Nyimbo Za Injili za Zamani!
From the 80s,90s and the Early 2000s!
Kuanzia Barabara 13,Aict Shinyanga,Kijitonyama Upendo Group,Na N.k!
Naoma Tubadlshane Audios,Videos na Picha Waimbaji wa Zamani!
Old is Gold!
mwenye nyimbo za marehemu ema chichi anipe link.
 
Mimi natafuta album ya kwaya ya Agizo Kuu kutoka TAG Kihesa Iringa. Ile ya miaka ya zamani sio hii iliyopigwa karibuni.

Naambiwa enzi mpiga kinanda alikuwa Mwanamke
baadhi ya nyimbo zake
1. Kazaliwa Emmanuel
2. Msalabani Yesu alilia Eloi Eloi
3. Basi simameni
4. Mapambano yanaendelea
5. Wokovu

Pia natafuta nyimbo za kwaya ya Nkinga yenye nyimbo kama "Sauli, Sauli" n.k
 
39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom