Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

FB_IMG_1620146714402.jpg
 
Borrusia Dortmund itamuacha mchezaji wa kimataifa wa England Jadon Sancho kuondoka katika klabu hiyo kwa kitita cha pauni milioni 87, baada ya hapo awali kutaka kiasi cha pauni milioni 100 kwa ajili ya kiungo huyo wa kati.
 
Wakati huo huo Mtendaji Mkuu wa Dortmund Hans-Joachim Watzke amerejelea msimamo wa klabu kwamba mshambuliaji wa Norway Erling Braut Haaland ambaye amekuwa akihusishwa na Manchester United,Liverpool , Manchester City , Chelsea, Barcelona na Real Madrid- hatauzwa msimu wa joto. (Metro)
 
Back
Top Bottom