moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,898
- 691,616
I see. Kwa hiyo huyu mhudumu wa guest nae ni member au mnamlipa kwa kuwapeni hiyo access. Duniani kila mtu aachwe na starehe yake.Ukienda gest yule attendant anajua chumba furani watu wanakulana na mwenyewe alishapekecha vitobo vya kuweka jicho ili upige chabo.
Hao jamaa wa gest na wenyewe waliathilika na hayo mambo
Ilikuwa ni mwendo chabo tu bro
Huyo jamaa alikuwa lazima umlipe maana alikuwa hataki fujo.I see. Kwa hiyo huyu mhudumu wa guest nae ni member au mnamlipa kwa kuwapeni hiyo access. Duniani kila mtu aachwe na starehe yake.
Kuna jamaa kaja na uzi kuwa anapenda sana kubambia wadada kwenye mwendo kasi. Gari kama haijaja hapandi
Ebana eee! Kweli starehe gharama hata iwejeHuyo jamaa alikuwa lazima umlipe maana alikuwa hataki fujo.
Maana kile kitaa watu walikuwa wanapenda kitonga wateleze
Nadhani mtafaruku wenu umeanzia hapa. Wewe unakwoti kila posti unayokutana nayo humu na kucomment kwenye post hiyo. Kuna wengine huwa hawapendi kukwotiwa hivyo kwa sababu akija kuingia JF anakutana na notifications kibao amekwotiwa halafu hakuna la maana; na hii inawakera.Tuliza mzuka binti we are to socialize. Sometimes don't take life too serious utapata ugonjwa wa moyo. Enjoy your time though
Thanks bro. But this is open platform mtu anaweza fanya chochote anaona kiko swa whether you like it or not. Hata aliyeanzisha huu uzi hayupo hapa and there is no such rule kwamba tuandike nini au kuquote nini? Cha muhimu uwe na bandle lako, simu yako, muda wako then you can do whatever you think it's better. Kama mtu hataki kukubaliana na akili za kila mtu ambaye humjui uchizi wake wakachat PM. Wengine tupo hapa kubuy time na hii lockdown JF inasaidia muda usonge. We don't need to take things seriously bro. Unachopenda wewe naweza mimi nisikipende so tuvumiliane tu ndio ubinadamu mzee. Cheers!!!!Nadhani mtafaruku wenu umeanzia hapa. Wewe unakwoti kila posti unayokutana nayo humu na kucomment kwenye post hiyo. Kuna wengine huwa hawapendi kukwotiwa hivyo kwa sababu akija kuingia JF anakutana na notifications kibao amekwotiwa halafu hakuna la maana; na hii inawakera.
Ili kuepuka mitafaruku hii, mkwoti mtu mahali ambapo kweli kuna post imekuvutia na unataka kuchomekea utani wako pale na kama siyo lazima kukwoti basi gonga likes tu halafu usepe. Vinginevyo nawe weka post zako na watu wagonge likes, wanaonogewa wanakukwoti hapa na pale, mnacheka na maisha yanaendelea.
Tupo hapa ku-socialize tu lakini pia kuna wengine wako siriazi na tuko na haiba tofauti tofauti. Ndo jamii na inabidi tuvumiliane. I hope nimesaidia kidogo kamanda
Ebana eee! Kweli starehe gharama hata iweje
Miye nilikuwa najaribu kukufanulia tu kuhusu huo mtafaruku uliotokea - jambo ambalo siyo la kawaida katika huu uzi japo huwa linatokea sometimes. Ila huwa tunasameheana na kusonga mbele....Thanks bro. But this is open platform mtu anaweza fanya chochote anaona kiko swa whether you like it or not. Hata aliyeanzisha huu uzi hayupo hapa and there is no such rule kwamba tuandike nini au kuquote nini? Cha muhimu uwe na bandle lako, simu yako, muda wako then you can do whatever you think it's better. Kama mtu hataki kukubaliana na akili za kila mtu ambaye humjui uchizi wake wakachat PM. Wengine tupo hapa kubuy time na hii lockdown JF inasaidia muda usonge. We don't need to take things seriously bro. Unachopenda wewe naweza mimi nisikipende so tuvumiliane tu ndio ubinadamu mzee. Cheers!!!!