Rais wa klabu ya Lille Gerard Lopez anasema kuwa winga wa Ivory Coast ,23, Nicolas Pepe, ambaye ananyatiwa na Manchester United, ataondoka katika klabu hiyo ya Ufransa mwisho wa msimu huu . (Manchester Evening News)
Kiungo wa kati wa Guiseley Dylan Barkers, Beki wa Hasting United Jamie Fielding na kiungo wa kati wa Hasting Adam Lovatt wamejiunga na klabu hiyo. (Leicester Mercury)
Wawakilishi kutoka Manchester United, Juventus na Paris St-Germain walizuru klabu ya Aves ili kumtazama kiungo wa kati wa Sporting Lisbon ,24, Bruno Fernandes. (A Bola)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.