Beki wa kushoto wa Liverpool na Uhispania Alberto Moreno, 26, amesema kuwa hana mpango wa kuongeza muda mkataba wake katika klabu hiyo itakapomalizika. (Estadio Deportivo - in Spanish)
Chelsea inapania kumsaini Gonzalo Higuain kwa mkopo hadi mwisho wa msimu huu - japo Juventus ina mpango kumuuza nyota huyo wa Argentina mwenye umri wa miaka 31. (Telegraph)
Everton ni miongoni mwa vilabu vinavyo ng'ang'ania kumsajili mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Belgium, Michy Batshuayi baada ya mkataba wake wa kuchezea Valencia kwa mkopo kukatizwa. (Telegraph)
Everton ni miongoni mwa vilabu vinavyo ng'ang'ania kumsajili mshambuliaji wa Chelsea na timu ya taifa ya Belgium, Michy Batshuayi baada ya mkataba wake wa kuchezea Valencia kwa mkopo kukatizwa. (Telegraph)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.