Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,256
- 1,095,813
Mechi ya marudiano itapigwa Jumatano, Januari 23. Hiyo ni mara ya kwanza kwa Man City kufunga mabao tisa kwenye mechi moja baada ya miaka 31 iliyopita, ambapo waliichapa Huddersfield Town 10-1 kwenye michuano hiyo, wakati ikiwa imepita miaka 32 tangu kushuhudiwa kwa mabao mengi kwenye mechi moja katika mikikimikiki ya kombe hilo, wakati Liverpool walipojipigia Fulham 10-0, Septemba 1986. Hata hivyo, hiyo si mara ya kwanza kwa soka la Uingereza kushuhudia timu moja ikichapwa mabao kwenye mechi moja.