Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Bonde zuri
FB_IMG_1547209963355.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
MANCHESTER United wamefanya kambi huko Dubai wakijifua kwenye hali ya hewa ya joto kujiweka fiti kabla ya kurudi England kumalizia msimu. Wakiwa kambini, kuna wachezaji wawili wa kikosi cha kwanza hawakuwapo, Marcos Rojo na kiungo wa Kibrazili, Fred.
 
Kocha Ole Gunnar Solskjaer alitoa sababu ya wakali hao kutokuwapo kambini, Rojo ikiwa ni majeruhi na Fred ni kwamba amerudi kwenye kusikilizia mkewe anatarajia kujifungua. Haya, shikilia hapohapo kwenye nukta ya kujifungua.
 
Unajua nini, kuna mchambuzi mmoja wa mambo ya soka alishawahi kuwaambia Manchester United: “Kamwe hamwezi kushinda chochote mkiwa na watoto.” Sawa, hilo lilikuwa na maana ya kuwa na wachezaji makinda.
 
Lakini, Man United wanaamini hilo haliwezi kujitokeza msimu huu, kwa sababu kwenye kikosi hicho kuna kundi la watoto litazaliwa mwaka huu.
 
Kiungo Fred ni mwanzo tu wa mastaa kibao, wasiopungua watano ambao wanatarajia kupata watoto ndani ya mwaka huu. Msimu huu kuna wachezaji kibao wa Man United watakuwa baba.
 
Siku za karibuni, Fred na kimwana wake, mrembo Monique Salum walionekana kuwa bize kufanya maandalizi ya mtoto wao wa kiume, Benjamin wakati walipomkaribisha duniani.
 
Supastaa, Paul Pogba amekuwa kwenye kiwango bora kabisa kwa sasa chini ya kocha Solskjaer, akifunga mabao manne na kuasisti matatu kwenye kikosi hicho, naye ni mmoja wa wachezaji wanaotarajia kuitwa baba ndani ya msimu huu.
 
Kiungo huyo ambaye aliteseka sana chini ya Jose Mourinho, anatarajia kupata mtoto baada ya mpenzi wake, Maria Salaues kujitangaza kuwa ni mjamzito.
 
Mrembo huyo wa Kibolivia, Maria alikuwapo uwanjani kwenye mechi dhidi ya Huddersfield na Bournemouth na kumshuhudia baba watoto wake akifunga mabao kwenye mechi hiyo kudhihirisha kwamba staa huyo ni mkali wa mabao ya ndani na nje ya uwanja.
 
Mrembo huyo wa Kibolivia, Maria alikuwapo uwanjani kwenye mechi dhidi ya Huddersfield na Bournemouth na kumshuhudia baba watoto wake akifunga mabao kwenye mechi hiyo kudhihirisha kwamba staa huyo ni mkali wa mabao ya ndani na nje ya uwanja.
 
Beki wa kati, Victor Lindelof naye anatarajia mtoto msimu huu baada ya mkewe aliyeoana naye mwaka jana baada ya fainnali za Kombe la Dunia 2018, mrembo Maja Nilsson kutangaza kuwa naye ni mjamzito.
 
Hahaha kwa hiyo umeamua kuirudia hii habar tena hapo kwenye sentensi ya mwsho kabsa,,et mkal wa mabao ya ndan
Mrembo huyo wa Kibolivia, Maria alikuwapo uwanjani kwenye mechi dhidi ya Huddersfield na Bournemouth na kumshuhudia baba watoto wake akifunga mabao kwenye mechi hiyo kudhihirisha kwamba staa huyo ni mkali wa mabao ya ndani na nje ya uwanja.
 
PEP Guardiola amewaambia wachezaji wake ni kufungulia mbwa tu mwanzo mwisho kwenye mchezo wao wa marudiano wa nusu fainali ya Kombe la Ligi dhidi ya timu ya daraja la chini, Burton Albion. Kwenye mechi ya kwanza iliyofanyika Uwanjani Etihad juzi Jumatano, Manchester City ilishinda mabao 9-0.
 
Bw Tshisekedi, kwa upande wake ameyafurahia matokeo hayo na kumsifu pia rais anayeondoka Joseph Kabila.
Akiwahutubia maelfu ya wafuasi wake waliokusanyika mji mkuu Kinshasa, Tshisekedi amesema atakuwa "rais wa raia wote wa Congo".
"Namshukuru Rais Joseph Kabila ambaye leo hatufai tena kumchukulia kama adui, lakini kama mshirika katika mabadiliko ya kidemokrasia nchini mwetu," amesema.
Amesema maneno makubwa sana.
Kabila pamoja na kuwa na upande kwenye uchaguzi huo lakini ameruhusu chaguo la wananchi walio wengi atangazwe mshindi.
Afrika ijifunze kitu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimsingi, ungeweza kusema kwamba mechi hiyo imeishia hapohapo Etihad, lakini Guardiola amewaambia wachezaji wake kuchukulia siriazi mchezo wa marudiano. Kinachoonekana Burton watakuwa wahanga wa kupigwa nyingi kweli wakati watakapocheza mechi zao mbili zote na mabingwa hao wa England.
 
Back
Top Bottom