moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 125,926
- 691,710
Mrembo huyo wa Kibolivia, Maria alikuwapo uwanjani kwenye mechi dhidi ya Huddersfield na Bournemouth na kumshuhudia baba watoto wake akifunga mabao kwenye mechi hiyo kudhihirisha kwamba staa huyo ni mkali wa mabao ya ndani na nje ya uwanja.
Hahahaha hapana chezea pogbaHahaha kwa hiyo umeamua kuirudia hii habar tena hapo kwenye sentensi ya mwsho kabsa,,et mkal wa mabao ya ndan
Amesema maneno makubwa sana.Bw Tshisekedi, kwa upande wake ameyafurahia matokeo hayo na kumsifu pia rais anayeondoka Joseph Kabila.
Akiwahutubia maelfu ya wafuasi wake waliokusanyika mji mkuu Kinshasa, Tshisekedi amesema atakuwa "rais wa raia wote wa Congo".
"Namshukuru Rais Joseph Kabila ambaye leo hatufai tena kumchukulia kama adui, lakini kama mshirika katika mabadiliko ya kidemokrasia nchini mwetu," amesema.