myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 147,925
- 657,264
🤲🤲Kama ilivyo wezekana kwa wengine… ni maombi yangu Mungu akutendee na wewe kadri ya mapenzi yake
🤲🤲Kama ilivyo wezekana kwa wengine… ni maombi yangu Mungu akutendee na wewe kadri ya mapenzi yake
AiseeUsipoteze muda kusubiria anguko au kushindwa kwa wengine. Mbingu zitakushangaza na ndipo utagundua watu hawamtegemei Mungu bure
Maisha,..Usiwe mmoja ya watu ambao waki pata changamoto kidogo tu una dhani Dunia ime kuacha. Maneno ya watu, hasara, utapeli, kuibiwa visi kufanye ukahisi uko fungu la kukosa na kukata tamaa. Yaelewe maisha
AiseeUsipoteze muda kusubiria anguko au kushindwa kwa wengine. Mbingu zitakushangaza na ndipo utagundua watu hawamtegemei Mungu bure
SawasawaMungu haja kuumba kuja duniani kutalii na kushangaa wenzako waki fanikiwa. Usi kubali kuwa shuhuda na kudhani wenzako wame pendelewa. Komaa na hiyo ndoto yako. Hakuna kilicho rahisi, katika magumu mengi kuna matunda mengi yame jificha
SawwHakikisha unapo toa ahadi una timiza, usi umize watu kwa ahadi za uongo
✔️🤲Hakikisha unapo toa ahadi una timiza, usi umize watu kwa ahadi za uongo
👍✔️Hakikisha unapo toa ahadi una timiza, usi umize watu kwa ahadi za uongo
✔️✔️Ajabu nyingine ni kwamba siku hizi idadi ya wanao funga ni ndogo ila idadi ya wanao futuru ni kubwa sana
Sawa katika hiliItunze sana fraha yako kwani ndio kitu pekee kinacho tafutwa kwa gharama kubwa duniani.