Kitu kinachofanya wewe uzame/ kughariki sio kuangukia majINi, wala kubaki chini ya maji na kutoinuka/ au kuelea juu; bali ni makosa ya tabia ambazo hujirudia ndio zinazo gharimu maisha yako. “Kuwa makini tusIbaki katika makosa yetu”.
Ikiwa una nia ya kumpinga au kumshtaki mtu yeyote.Kabla ya kumpinga na kueleza matatizo ya hotuba na tabia ya upande mwingine, kwanza toa maelezo mafupi ya mema yake, mazuri yake na uwezo wake, ambayo humfanya ahisi kama wewe ni rafiki KWake na SI Mpinzani KWAKe.Na hivyo atakuwa tayari kusikia maneno yako.
Kila mtu anasema: kuwa na siku nzuriLakini mimi nasema: mwenyewe ifanye siku yako iwe nzuri!Usifikiri juu ya siku nzuri kukujia; kwani hazitakuja.kuwa mwenye Fikira ya kuitengeneza, kwani siku nzuri lazima zitengenezwe!
Unapokumbana na matatizo, kumbuka kuwa kuna njia suluhisho la hakika.Kwa sababu kila kitu kinakuwa na pacha wakekwa sababu kila baada ya kuporomoka, kuna kuinuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.