Methali ya Sierra Leone inasema: “Usipojaribu hautafanikiwa. Kutojaribu au kutofanya lolote ni zaidi ya kosa, ni dhambi. Kujaribu na kushindwa si uvivu.”
Kiumbe huyu ana uwezo wa kujenga au kubomoa, ana uwezo wa kufikiri, kutenda na kuamua, ana uwezo wa kubadili kile anachokiona na ana uwezo wa kutawala viumbe wengine – kutaja machache.
Sifa nyingine ya binadamu ni Kubadilika. Binadamu si kama gogo ambalo linaweza kukaa miaka mingi kwenye maji lakini lisibadilike hata siku moja na kuwa mamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.