Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,253
- 1,077,526
Hahahahh aiseee
Sijambo Moudy.. U mzima?
Wasukuma tunaamini kuwa chatu ana maajabu. Hata ukikutana naye huruhusiwi kumuua. Na kama una kambwa kagonjwa gonjwa hivi unampa ili upate kibaraka
Nafurahi kwa kuwa TRM ishakufa rasmi vinginevyo ungesikia tu maneno maneno yasiyo na kichwa wala miguu
Hata kama ukikumbukwa na binadamu hawa; wewe uliyekufa inakusaidia nini? Yote ni kujilisha upepo !!!Mche MunguView attachment 1204316
Wababe wa dunia hao. Wanakuletea maumivu pale pale ulipo. Ni wewe tu na roho yako
Jiniazi yule. Alivyoelezea tofauti ya wedding na welding hata Aristoto asingeweza...Kuninyamazia kama hvyo?
#nishamkubalia_kiatuchafarasi
Watakuombea, eti wanadai hivyoHata kama ukikumbukwa na binadamu hawa; wewe uliyekufa inakusaidia nini? Yote ni kujilisha upepo !!!
Eti yote kafanya isipokuwa kula tigo. Shwaini zake kabisaNiliyojiapiza kutoyafanya ukubwani yote yamenishinda. Hadi sasa nimeyafanya yote kasoro moja tu
Ndugu zangu! Mwenzenu nilipokuwa kijana niliapa katu katu sitokuja kujaribu kufanya mambo haya matano! Niliapa kutozaa watoto nje ya ndoa.... lakini hadi muda huu Leo nina watoto watatu nje ya ndoa inaniuma sana lakini basi tu Niliapa sitokuja kutembea na mke wa MTU katukatu...Daah kusema...www.jamiiforums.com