Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Macho
Kama jicho lako halikulazimishi kulishika labda pale unatoa uchafu wa aina yoyote kwa namna inayofaa, hakikisha hauligusi kabisa. Hii ni kwa sababu mikono yetu inabeba mambo bakteria ambao wanaweza kudhuru macho yetu taratibu na kudhurika bila kufahamu haraka.
 
Mdomoni (Nje na Ndani)
Utafiti zilizofanywa hivi karibuni nchini Uingereza umebaini kuwa mtu ambaye ameboreka (bored) kazini hushika maeneo ya mdomoni zaidi ya mara 23.6 kwa saa moj. Hali hii ni tatizo kubwa kwani utafiti umebaini kuwa robo tatu ya bakteria wabaya hupitia kwenye mdomo.
 
Ndani ya Pua

Kuna watu ambao kuchokonoa mapua yao ni sehemu ya tabia iliyojengeka. Kwa bahati mbaya, tafiti za kitabibu zimebaini kuwa watu wanaochokonoa pua zao kwa vidole wako katika hatari kubwa zaidi ya kushambuliwa na bakteria (staph bacteria) zaidi ya wale ambao hawafanyi hivyo.
 
FB_IMG_1563017925401.jpeg
 
Back
Top Bottom