Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 268,282
- 1,096,069
Usijiachilie sana na kuwa wazi sana kwa mtu huyu. Sio eti kila unachosikia au kuwanacho moyoni ndiyo yeye wa kwanza kuitwa na kuambiwa. Sio eti siri unayoiona ina mhitaji mtu wako wa karibu ndiye yeye unampigia simu akushauri na unamfunulia moyo wako. Chunga sana, unaweza kujikuta unamwalika joka ndani ya uvungu wako