Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Kesi imeshapata mnunuzi...JF raha sana !!!


 
Eddy Chumila si ndio aliye kufisadi ?
Mungu aendelee kukutendea yaliyo mema zaidi na zaidi.

Kuna wadada watatu wa Kimanyema nilipanga kwenye nyumba yao ile karibu na limti likubwa, jamaniiii !!! Vyupi vyao vya chandarua na kanga kavu lainiii wanakaa uani muda wote wakiwa nyumbani. ... Shwaini zake Osward (alikuwa idara ya Maji) aliniua mapema, jamaa yangu alikuwa anafundisha Jitegemee secondary akanishauri tuhame kuepuka makuu zaidi maana hata mama yao mzazi ilikuwa timu moja.

Hukumu niiogopayo kwa Mungu ni ya kutamani na kuto yatenda matamanio yangu. Mimi ni wa kusifia tu ila kwenye matendo ndio vilee


#nimeikumbukanjinjo#
#hofuyangunikwaningendakohiyomitaayasudani#
 

Ni kama vile nawafahamu hao Wamanyema. Kabila hilo kwa misambwanda aisee ni hatari. Kuna wengine walikuwa pale karibu kabisa na Bulyaga nao walikuwa moto wa kuotea mbali kuanzia akina mama na mabinti zao. Ilikuwa ukizubaa wanakupiga boom lote aisee...Bahati mbaya gridi ya taifa ilipopita wee wengi waliteketea mbaya...

#Kutamaninakutendaniyaleyale
#ningendakoanahitajimaombi
#Tutaokolewakwaneema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…