M Z A N Z I B A R I
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 21,697
- 117,133
If a man watches three football games in a row, he should be declared legally dead.”
― Erma Bombeck
― Erma Bombeck
haya maneno pia ameyazungumza luka modric?Wachezaji wana vipaji vikubwa tu, lakini shida hakuna tena kupambana. Julen Lopetegui alionekana hafai, lakini Solari naye hafai pia. Wachezaji wamepoteza ile njaa. Ramos hana kitu kingine cha kutafuta na sasa anacheza tu kusubiria mafao yake. Nini sababu, Zinedine Zidane? La, haiwezi kuwa shida. Kwa ilipofikia Real Madrid, Zidane asingekuwa na kitu cha ajabu kufanya kwenye timu hiyo tena.