Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

Words
37942459_2130273913710965_6579078689818935296_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachezaji wana vipaji vikubwa tu, lakini shida hakuna tena kupambana. Julen Lopetegui alionekana hafai, lakini Solari naye hafai pia. Wachezaji wamepoteza ile njaa. Ramos hana kitu kingine cha kutafuta na sasa anacheza tu kusubiria mafao yake. Nini sababu, Zinedine Zidane? La, haiwezi kuwa shida. Kwa ilipofikia Real Madrid, Zidane asingekuwa na kitu cha ajabu kufanya kwenye timu hiyo tena.
haya maneno pia ameyazungumza luka modric?
au nimedandia treni
 
Back
Top Bottom