Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,297
- 122,384
Made menStay schemin
Made menStay schemin
Ahsante, nimezisikia sana ila sikuwahi kuzisoma.Ngoja nikapakue.simulizi za alfu lela u lela ingia app store kisha pakua ARABIAN NIGHTS utapata simulizi zote (ila zipo katika lugha ya kimombo)
Aisee, pole sana bro.Afadhali majambazi, wanaweza kuwa na huruma wakaishia kuchukua pesa wakakuachia uhai. Black mamba amechukua uhai wa baba zangu wadogo wawili. Namuheshimu sana huyoView attachment 959162 Hili ni Zimwi
Michosho tu nimetafuta hazipo,niliikopi hio smssehwmu nikaja paste humu ili nisisahauAhsante, nimezisikia sana ila sikuwahi kuzisoma.Ngoja nikapakue.
Daah natavitaman jaman,vinauzwa sh ngap?Hivi vitabu vyake Mimi ninavyo vya kiswahili
Weekend bado banaHahahahhaah ndio hata biskut huwez
Weekend vp
Ukukutana nae unashauliwa kuwa mtulivu tu ukisubiri huruma yake maana ata ukikimbia huwezi kumuepuka na ndio unamkorofisha, inashauriwa ugande tu mwenyewe akijiridhisha wewe sio adui atakuachaAfadhali majambazi, wanaweza kuwa na huruma wakaishia kuchukua pesa wakakuachia uhai. Black mamba amechukua uhai wa baba zangu wadogo wawili. Namuheshimu sana huyoView attachment 959162 Hili ni Zimwi
Za kiswahili zipo vizuri mnoSija wahi kusoma hizi hadithi, nitajaribu.
Kuna mzee alikua yupo home kipindi flani ndio aliniachia ila kuna siku nilipita duka la vitabu pale Mlimani City nilivikuta ila bei yake sikumbuki kwakweli....Daah natavitaman jaman,vinauzwa sh ngap?