eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Mkuu siwezi kufanya Isis ni mtani wangu kwenye siasa zetu za bongoMkuu nipo kwenye maombelezo lakini usimtusi malkia wangu
The one and only
Univumilie wakati namrushia makombora tu
Mkuu siwezi kufanya Isis ni mtani wangu kwenye siasa zetu za bongoMkuu nipo kwenye maombelezo lakini usimtusi malkia wangu
The one and only
HakikaWe mwache tu huyo ana matatizo flani hivi walahi!
Kichaga cha marangu!Isis nimegusa moyo wako
Halafu umetukana hapa
Hii ni Lugha ya kabila gani
Aseee, mkuu SYB nawe tuletee taarifa kuhusu kufanana kwa kisukuma cha Mwanza, Geita, Simiyu, Shinyanga, Kahama, Mpanda na kwinginekoSana walahi
Amina mkuuPole sana mzee wa liver pamoja na ushindi wako leo najua una masikitiko makubwa
Pole nyingi kwa kuwapoteza ndugu zako Mungu akupe subira katika kipindi hiki kigumu
asante kwa taarifaMkuu siwezi kufanya Isis ni mtani wangu kwenye siasa zetu za bongo
Univumilie wakati namrushia makombora tu
Yote kwa yote tuna kikosi imara this seasonMkuu siwezi kufanya Isis ni mtani wangu kwenye siasa zetu za bongo
Univumilie wakati namrushia makombora tu
Kama kuwa kichaa ni kutawala nchi na kuwa mzima na kucompare na wewe jamaa! Oh well!Najua ni tusi kwa sababu nimeugusa moyo wake kwa kichaa
Mkuu nilibahatisha tu, maana hata dongo ulilorusha hapo silijui walahiOte ndao kanyi si ya kwako hiyo ni ya Yule jamaa walahi uwiii
Jizazi. Pole sana mkuu.Uhakika sasa ndugu zangu watatu wametangulia mbele ya haki
AseeAt least hii inanifanya niwe na nguvu kidogo
Aseee,Kuna tofauti kubwa tu japo wote wachaga
Ni tusi la Kichaga hilo ama? Kama ni tusi sema nami niporomoshe la Kisukuma ili twende sawa kamandamwegeloo
Hivi wewe Kimario wa kina Muhhidini?Mkuu siwezi kufanya Isis ni mtani wangu kwenye siasa zetu za bongo
Univumilie wakati namrushia makombora tu
AseeKuna tofauti kubwa tu japo wote wachaga
Halafu wewe utakuwa unatoka Zanzibar maana sio kwa hizi wallahKichaga cha marangu!
Maana tuko kwenye maombolezo, I reserve my ...,,, walahi
Najua ni tusi kwa sababu nimeugusa moyo wake kwa kichaa
Inauma sana mkuu wawili ni watu wakubwa kabisa na familia zao sijui itakuwaje walikwenda kusalimia tu ukara so pain wake za marehemu hapo tunafanya kazi ya ziada kuwatuliza kwa kifupi familia nzima yetu imeumia sanaJizazi. Pole sana mkuu.
Haya mambo yanauma sana hasa ukizingatia kwamba they didn't have to die bali uzembe wa watu tu. MV. Skagit iliondoka na mtu wangu wa karibu sana. Tuliachiwa wanawe na sasa tunahangaika kusomesha. Hakuna cha fidia. No apology. Hakuna cha malipo ya bima. Nothing. Afadhali sasa angalau wamesema watatoa laki 5 kwa kila maiti pamoja na kulipia gharama za mazishi...
Kwa hili wazungu nawavulia kofia. Ukifanya ujinga huu haki ya nani pesa utakazolipa kama ni kampuni itakufa na kama ni serikali ya jimbo au mji itayumba. Kutokana na malipo haya kila mmoja anajitahidi kufuata sheria na ajali inapotokea kweli ni ajali na siyo sababu zile zile miaka nenda miaka rudi
Hayakuhusu na wewe, pilipili iko shambani inakuwashia nini?Ni tusi la Kichaga hilo ama? Kama ni tusi sema nami niporomoshe la Kisukuma ili twende sawa