eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,227
- 16,178
Mkuu usiwaze tunajuana kusiasa tu huwa tunakutana kwenye mada zetu za kisiasaAmina mkuu
Angalizo ISIS ni malkia wangu sipendi umkwaze
Mkuu usiwaze tunajuana kusiasa tu huwa tunakutana kwenye mada zetu za kisiasaAmina mkuu
Angalizo ISIS ni malkia wangu sipendi umkwaze
. Kazi ipo !!!View attachment 874739 teh teh teh teh nimeamini kuwa sisi watanzania tumezodiana tu lakini wengi ni bichaa
Mkuu nipo kwenye maombelezo lakini usimtusi malkia wangu
The one and only
Ila hamuaminiki kabisa nakumbuka boko la Steve Gerald kwa demba baa likawanyima ubingwaYote kwa yote tuna kikosi imara this season
Mkuu siwezi kufanya Isis ni mtani wangu kwenye siasa zetu za bongo
Univumilie wakati namrushia makombora tu
Thank you so much!Amina mkuu
Angalizo ISIS ni malkia wangu sipendi umkwaze
We mwache tu huyo ana matatizo flani hivi walahi!
Kuna litasnifu limoja la shahada ya uzamivu kutoka chuo kikuu cha Leipzig Ujerumani limedadavua kila kitu nikilipata nitakutumia. Kinyantuzu ninachoongea mimi kina tofauti kidogo kifonolojia na kifonetiki na visukuma vingine...Aseee, mkuu SYB nawe tuletee taarifa kuhusu kufanana kwa kisukuma cha Mwanza, Geita, Simiyu, Shunyanga, Kahama, Mpanda na kwingineko
Ni tusi la Kichaga hilo ama? Kama ni tusi sema nami niporomoshe la Kisukuma ili twende sawa kamanda
Pole sanaInauma sana mkuu wawili ni watu wakubwa kabisa na familia zao sijui itakuwaje walikwenda kusalimia tu ukara so pain wake za marehemu hapo tunafanya kazi ya ziada kuwatuliza kwa kifupi familia nzima yetu imeumia sana
Hawa wanyantuzu nao ni ndugu wa wasukuma?Kuna litasnifu limoja la shahada ya uzamivu kutoka chuo kikuu cha Leipzig Ujerumani limedadavua kila kitu nikilipata nitakutumia. Kinyantuzu ninachoongea mimi kina tofauti kidogo kifonolojia na kifonetiki na visukuma vingine...
Duh !!!Hayakuhusu na wewe, pilipili iko shambani inakuwashia nini?
Ebo!
Ni Wasukuma wa huko Simiyu - wajanja wajanja hiviHawa wanyantuzu nao ni ndugu wa wasukuma?
Wewe kijana veepeee?Duh !!!
Ama kweli tunaomboleza...
Mbona nilikuwa namjibu mwingine?
Haya niambie "mwegeloo" maana yake nini?
Ebo !!![/]
Poleni sana. Haya mambo ya vifo vya ghafla haya yasikie kwingine tu yaani. Mungu Atawavusha...Inauma sana mkuu wawili ni watu wakubwa kabisa na familia zao sijui itakuwaje walikwenda kusalimia tu ukara so pain wake za marehemu hapo tunafanya kazi ya ziada kuwatuliza kwa kifupi familia nzima yetu imeumia sana