CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
kuna kitu sijajua hadi leo simba kinanishangaza, sijui ni uzungu mwingi au vipi? kwanza ni kwanini mazoezi ya simba kila siku ni ya wazi? si muende hata Gymkhana palipojificha?
Huyu CEO kule zanzibar watu walimshika matiti na makalio akakimbilia polisi hadi leo kesi hakuna na kwa sasa maadui wameongezeka kwa kasi wengine walimtishia hadi kwenye audio clips embu angalia hii clips halafu uniambie hawa watu kama wako seriuous kweli hivikweli kwenye hii mikusanyiko mnaamini kila mtu ni mshabiki wa simba????
Anyway labda hata muhusika mwenyewe hajali kuhusu usalama wake, Imeshindikana kukodi hata mabaunsa wawili kwenye mikusanyiko hiyo?hata wapambe tu wa kum shield? endeleeni na uzembe wenu
Kumbuka huyo ni mwanamke tena mrembo , na tunaishi katika jamiii inayomchukulia mwanamke poa,kuna siku atatomaswa hadharani itakuwa too late
Huyu CEO kule zanzibar watu walimshika matiti na makalio akakimbilia polisi hadi leo kesi hakuna na kwa sasa maadui wameongezeka kwa kasi wengine walimtishia hadi kwenye audio clips embu angalia hii clips halafu uniambie hawa watu kama wako seriuous kweli hivikweli kwenye hii mikusanyiko mnaamini kila mtu ni mshabiki wa simba????
Anyway labda hata muhusika mwenyewe hajali kuhusu usalama wake, Imeshindikana kukodi hata mabaunsa wawili kwenye mikusanyiko hiyo?hata wapambe tu wa kum shield? endeleeni na uzembe wenu
Kumbuka huyo ni mwanamke tena mrembo , na tunaishi katika jamiii inayomchukulia mwanamke poa,kuna siku atatomaswa hadharani itakuwa too late