Profesa Janabi hakuwa sahihi, si kila mtu anahitaji kufanya uchunguzi wa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi

DidYouKnow

JF-Expert Member
Jul 28, 2019
1,094
1,691
  • Haina uhalisia
  • Kauli yake itawafanya watu wengi waogope mazoezi
  • Hatuna vituo vya kutosha vya kufanya uchunguzi kama huo
  • Ni gharama kufanya chunguzi
  • Watu wangapi umewasikia wakifa kwa sababu ya kufanya mazoezi?
  • Madhara yake hutokea kwa nadra sana.

Kumekuwa na elimu nyingi zinazotolewa na daktari anayeitwa Prof. Janabi, ambazo zinasaidia jamii. Bahati mbaya baadhi ya mafunzo yake, ambayo yanaaminika sana na jamii huwa na makosa ya kitabibu.

Watu wengi wamesikiliza clip yake ya mwaka jana inayowashauri watanzania kwamba wanapaswa kuonana na daktari wao kuchunguza afya za mioyo yao kabla ya kuanza mazoezi yoyote. Clip hii ya mwaka jana, ime trend sana baada ya Manager wa TANROAD Mkoa wa Ruvuma kufariki wakati akifanya mazoezi.

Ni muhimu kutambua kwamba madaktari huwa hawajui kila kitu, hivyo kwa Wizara ya Afya na Janabi mwenyewe, ni vyema akawa anatoa masomo kwa maeneo aliyobobea nayo, kwani akikosea kufundisha vitu ambavyo hana ujuvi navyo, bado jamii itamuamini maana haijui kitu.

Ni kweli kwamba mwongozo wa kila mtu kufanyiwa uchunguzi wa moyo au afya na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi, ulikuwapo miaka hadi miaka ya karibuni ulipobadilishwa hasa kwa watu ambao wanajitambua kuwa na afya njema sawasawa na maelezo yangu hapo chini. Andiko hili halimaanishi kuwa uchunguzi wa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi sio muhimu kwa watu wote, lakini thread hii inasema sio muhimu kwa watu wengi.

Kwa nini watu wanapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi?

Mapendekezo ya kimapokeo katika jumuiya ya afya yalikuwa kwamba kila mtu anapaswa kuchunguzwa na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi. Hii ilikuwa inaongozwa na nadharia, kwamba unapoanza kufanya mazoezi ya wastani au mazito, kuna hatari kidogo ya kuongezeka kwa mashambulizi ya moyo au matatizo ya moyo.

Kwa hivyo uchunguzi wa moyo ungekuwa kuhakikisha kuwa mtu hana ugonjwa wa moyo ambao labda hajui - au kwamba hafanyi matibabu ya ugonjwa wa moyo alionao kwa sababu hana dalili zozote za kumtisha kwa kuwa hafanyi mazoezi, lakini dalili zitajitokeza au kuongezeka mara tu atakapoanza kufanya mazoezi.

Lakini miongozo hii ya huko nyuma imebadilika sana. Imegundulika kwamba kupendekeza kila mtu afanyiwe kwanza uchunguzi wa daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi kunaweza kunatengeneza vikwazo vinavyowazuia watu wengi kufanya mazoezi.

Hivyo nchi nyingi tunakonakili miongozo yao mfano kutoka American College of Sports Medicine wamerekebisha miongozo yao kuakisi hili. Lengo ni kuhakikisha kunakuwa na usalama wa mgonjwa na kutotengeneza kikwazo chochote cha kufanya mazoezi.

Je, nani anapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza mazoezi?

Kwa miongozo ya sasa ni kwamba unapaswa ujiulize maswali matatu ya msingi kabla ya kuanza kufanya mazoezi.

Swali la kwanza: je, wewe kwa kawaida ni mtu wa kukaa tu (physically inactive)? Ikiwa inaamamisha shughuli zako za kila siku zinahusisha kukaa tu, unaweza kutaka kuonana na daktari kabla ya kuanza programu ya mazoezi ya kawaida wastani (si madogo).

Swali linalofuata: Una dalili za matatizo ya moyo? Au una matatizo mengine ya kiafya ambayo yanaweza kukufanya uwe na matatizo ya moyo? Kwa mfano, shinikizo la damu, ugonjwa wa figo, ugonjwa wa kisukari, na ugonjwa wa mapafu ni hali zote ambazo zinaweza kukuweka kwenye matatizo ya moyo.

Swali la mwisho: ni shughuli gani unataka kushiriki? Je, ni za nguvu kubwa, kama kukimbia? Ikiwa mpango wako wa mazoezi unahusisha mazito, unaweza kuonana na daktari kwanza, hususani kama umekuwa mtu wa kukaakaa tu.

Ukijibu "ndiyo" kwa mojawapo ya maswali hayo juu, kwa hakika unapaswa kupima moyo kwanza kwani unaweza kuwa katika hatari kubwa zaidi ya kupata tatizo la moyo wakati wa mazoezi.

Watu wanapaswa kujua nini kuhusu hatari ya mshtuko wa moyo au masuala mengine ya moyo wakati wa mazoezi?

Uwezekano wa kuwa na mshtuko wa moyo au tatizo la moyo wakati wa mazoezi ni mdogo sana. Hata tukio la juzi la Songea, ni kati ya matukio machache ya kuhesabika.

Hivyo inashauriwa, unapaswa kuanza mazoezi madogomadogo na polepole kila wakati. Usianze ghafla mazoezi makubwa, kama kukimbia umbali, mrefu kwa muda, na kadhalika. Kwa wale wenye uwezo wanaweza mtafuta mkufunzi kama mfiziotherapia anayeweza kusimamia programu zao za mazoezi anayeweza kukusaidia kujenga nyongeza za kiwango cha mazoezi kwa usahihi.

Ikiwa huna dalili au dalili za matatizo yoyote, lakini bado huna uhakika kuhusu afya ya moyo wako, nenda kituo cha afya umwone daktari. Yeye anaweza kukusaidia kujua kama unaweza kufaidika na upimaji wowote unaohusiana na magonjwa ya moyo kabla ya kuanza programu yako ya mazoezi.
 
Tatizo la watanzania ni kubishia Watu wenye taaluma zao.
Mwenzako ni Daktari, tena Profesa, anazungumzia jambo kulingana na taaluma yake.
Sasa wewe unatoa maoni yako kwenye taaluma za Watu.

1. Kufanya kazi pekee yake ni mazoezi
2. Kula lishe bora inatosha hata usipofanya mazoezi.
 
  • Haina uhalisia
  • Kauli yake itawafanya watu wengi waogope mazoezi
  • Hatuna vituo vya kutosha vya kufanya uchunguzi kama huo
  • Ni gharama kufanya chunguzi
  • Watu wangapi umewasikia wakifa kwa sababu ya kufanya mazoezi?
  • Madhara yake hutokea kwa nadra sana.

Kumekuwa na elimu nyingi zinazotolewa na daktari anayeitwa Prof. Janabi, ambazo zinasaidia jamii. Bahati mbaya baadhi ya mafunzo yake, ambayo yanaaminika sana na jamii huwa na makosa ya kitabibu.

Watu wengi wamesikiliza clip yake ya mwaka jana inayowashauri watanzania kwamba wanapaswa kuonana na daktari wao kuchunguza afya za mioyo yao kabla ya kuanza mazoezi yoyote. Clip hii ya mwaka jana, ime trend sana baada ya Manager wa TANROAD Mkoa wa Ruvuma kufariki wakati akifanya mazoezi.

Ni muhimu kutambua kwamba madaktari huwa hawajui kila kitu, hivyo kwa Wizara ya Afya na Janabi mwenyewe, ni vyema akawa anatoa masomo kwa maeneo aliyobobea nayo, kwani akikosea kufundisha vitu ambavyo hana ujuvi navyo, bado jamii itamuamini maana haijui kitu.

Ni kweli kwamba mwongozo wa kila mtu kufanyiwa uchunguzi wa moyo au afya na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi, ulikuwapo miaka hadi miaka ya karibuni ulipobadilishwa hasa kwa watu ambao wanajitambua kuwa na afya njema sawasawa na maelezo yangu hapo chini. Andiko hili halimaanishi kuwa uchunguzi wa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi sio muhimu kwa watu wote, lakini thread hii inasema sio muhimu kwa watu wengi.

Kwa nini watu wanapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi?

Mapendekezo ya kimapokeo katika jumuiya ya afya yalikuwa kwamba kila mtu anapaswa kuchunguzwa na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi. Hii ilikuwa inaongozwa na nadharia, kwamba unapoanza kufanya mazoezi ya wastani au mazito, kuna hatari kidogo ya kuongezeka kwa mashambulizi ya moyo au matatizo ya moyo.

Kwa hivyo uchunguzi wa moyo ungekuwa kuhakikisha kuwa mtu hana ugonjwa wa moyo ambao labda hajui - au kwamba hafanyi matibabu ya ugonjwa wa moyo alionao kwa sababu hana dalili zozote za kumtisha kwa kuwa hafanyi mazoezi, lakini dalili zitajitokeza au kuongezeka mara tu atakapoanza kufanya mazoezi.

Lakini miongozo hii ya huko nyuma imebadilika sana. Imegundulika kwamba kupendekeza kila mtu afanyiwe kwanza uchunguzi wa daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi kunaweza kunatengeneza vikwazo vinavyowazuia watu wengi kufanya mazoezi.

Hivyo nchi nyingi tunakonakili miongozo yao mfano kutoka American College of Sports Medicine wamerekebisha miongozo yao kuakisi hili. Lengo ni kuhakikisha kunakuwa na usalama wa mgonjwa na kutotengeneza kikwazo chochote cha kufanya mazoezi.

Je, nani anapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza mazoezi?

Kwa miongozo ya sasa ni kwamba unapaswa ujiulize maswali matatu ya msingi kabla ya kuanza kufanya mazoezi.

Swali la kwanza: je, wewe kwa kawaida ni mtu wa kukaa tu (physically inactive)? Ikiwa inaamamisha shughuli zako za kila siku zinahusisha kukaa tu, unaweza kutaka kuonana na daktari kabla ya kuanza programu ya mazoezi ya kawaida wastani (si madogo).

Swali linalofuata: Una dalili za matatizo ya moyo? Au una matatizo mengine ya kiafya ambayo yanaweza kukufanya uwe na matatizo ya moyo? Kwa mfano, shinikizo la damu, ugonjwa wa figo, ugonjwa wa kisukari, na ugonjwa wa mapafu ni hali zote ambazo zinaweza kukuweka kwenye matatizo ya moyo.

Swali la mwisho: ni shughuli gani unataka kushiriki? Je, ni za nguvu kubwa, kama kukimbia? Ikiwa mpango wako wa mazoezi unahusisha mazito, unaweza kuonana na daktari kwanza, hususani kama umekuwa mtu wa kukaakaa tu.

Ukijibu "ndiyo" kwa mojawapo ya maswali hayo juu, kwa hakika unapaswa kupima moyo kwanza kwani unaweza kuwa katika hatari kubwa zaidi ya kupata tatizo la moyo wakati wa mazoezi.

Watu wanapaswa kujua nini kuhusu hatari ya mshtuko wa moyo au masuala mengine ya moyo wakati wa mazoezi?

Uwezekano wa kuwa na mshtuko wa moyo au tatizo la moyo wakati wa mazoezi ni mdogo sana. Hata tukio la juzi la Songea, ni kati ya matukio machache ya kuhesabika.

Hivyo inashauriwa, unapaswa kuanza mazoezi madogomadogo na polepole kila wakati. Usianze ghafla mazoezi makubwa, kama kukimbia umbali, mrefu kwa muda, na kadhalika. Kwa wale wenye uwezo wanaweza mtafuta mkufunzi kama mfiziotherapia anayeweza kusimamia programu zao za mazoezi anayeweza kukusaidia kujenga nyongeza za kiwango cha mazoezi kwa usahihi.

Ikiwa huna dalili au dalili za matatizo yoyote, lakini bado huna uhakika kuhusu afya ya moyo wako, nenda kituo cha afya umwone daktari. Yeye anaweza kukusaidia kujua kama unaweza kufaidika na upimaji wowote unaohusiana na magonjwa ya moyo kabla ya kuanza programu yako ya mazoezi.
Hata hao madaktari wa moyo kwa huku mjin wako wangapi wa kufanaya thoroughly investigation .. kumtegemea MD aliyemaliza chuo ndo akafanya investigation ya moyo itakuwa kituko
 
Tatizo la watanzania ni kubishia Watu wenye taaluma zao.
Mwenzako ni Daktari, tena Profesa, anazungumzia jambo kulingana na taaluma yake.
Sasa wewe unatoa maoni yako kwenye taaluma za Watu.

1. Kufanya kazi pekee yake ni mazoezi
2. Kula lishe bora inatosha hata usipofanya mazoezi.
Ndio hao watu ninaowalenga. Wengine wanadhani Janabi ndio daktari Mkuu. Janabi ni kiongozi mzuri sana, ila mengine tusiandike hapa.
 
  • Haina uhalisia
  • Kauli yake itawafanya watu wengi waogope mazoezi
  • Hatuna vituo vya kutosha vya kufanya uchunguzi kama huo
  • Ni gharama kufanya chunguzi
  • Watu wangapi umewasikia wakifa kwa sababu ya kufanya mazoezi?
  • Madhara yake hutokea kwa nadra sana.

Kumekuwa na elimu nyingi zinazotolewa na daktari anayeitwa Prof. Janabi, ambazo zinasaidia jamii. Bahati mbaya baadhi ya mafunzo yake, ambayo yanaaminika sana na jamii huwa na makosa ya kitabibu.

Watu wengi wamesikiliza clip yake ya mwaka jana inayowashauri watanzania kwamba wanapaswa kuonana na daktari wao kuchunguza afya za mioyo yao kabla ya kuanza mazoezi yoyote. Clip hii ya mwaka jana, ime trend sana baada ya Manager wa TANROAD Mkoa wa Ruvuma kufariki wakati akifanya mazoezi.

Ni muhimu kutambua kwamba madaktari huwa hawajui kila kitu, hivyo kwa Wizara ya Afya na Janabi mwenyewe, ni vyema akawa anatoa masomo kwa maeneo aliyobobea nayo, kwani akikosea kufundisha vitu ambavyo hana ujuvi navyo, bado jamii itamuamini maana haijui kitu.

Ni kweli kwamba mwongozo wa kila mtu kufanyiwa uchunguzi wa moyo au afya na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi, ulikuwapo miaka hadi miaka ya karibuni ulipobadilishwa hasa kwa watu ambao wanajitambua kuwa na afya njema sawasawa na maelezo yangu hapo chini. Andiko hili halimaanishi kuwa uchunguzi wa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi sio muhimu kwa watu wote, lakini thread hii inasema sio muhimu kwa watu wengi.

Kwa nini watu wanapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi?

Mapendekezo ya kimapokeo katika jumuiya ya afya yalikuwa kwamba kila mtu anapaswa kuchunguzwa na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi. Hii ilikuwa inaongozwa na nadharia, kwamba unapoanza kufanya mazoezi ya wastani au mazito, kuna hatari kidogo ya kuongezeka kwa mashambulizi ya moyo au matatizo ya moyo.

Kwa hivyo uchunguzi wa moyo ungekuwa kuhakikisha kuwa mtu hana ugonjwa wa moyo ambao labda hajui - au kwamba hafanyi matibabu ya ugonjwa wa moyo alionao kwa sababu hana dalili zozote za kumtisha kwa kuwa hafanyi mazoezi, lakini dalili zitajitokeza au kuongezeka mara tu atakapoanza kufanya mazoezi.

Lakini miongozo hii ya huko nyuma imebadilika sana. Imegundulika kwamba kupendekeza kila mtu afanyiwe kwanza uchunguzi wa daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi kunaweza kunatengeneza vikwazo vinavyowazuia watu wengi kufanya mazoezi.

Hivyo nchi nyingi tunakonakili miongozo yao mfano kutoka American College of Sports Medicine wamerekebisha miongozo yao kuakisi hili. Lengo ni kuhakikisha kunakuwa na usalama wa mgonjwa na kutotengeneza kikwazo chochote cha kufanya mazoezi.

Je, nani anapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza mazoezi?

Kwa miongozo ya sasa ni kwamba unapaswa ujiulize maswali matatu ya msingi kabla ya kuanza kufanya mazoezi.

Swali la kwanza: je, wewe kwa kawaida ni mtu wa kukaa tu (physically inactive)? Ikiwa inaamamisha shughuli zako za kila siku zinahusisha kukaa tu, unaweza kutaka kuonana na daktari kabla ya kuanza programu ya mazoezi ya kawaida wastani (si madogo).

Swali linalofuata: Una dalili za matatizo ya moyo? Au una matatizo mengine ya kiafya ambayo yanaweza kukufanya uwe na matatizo ya moyo? Kwa mfano, shinikizo la damu, ugonjwa wa figo, ugonjwa wa kisukari, na ugonjwa wa mapafu ni hali zote ambazo zinaweza kukuweka kwenye matatizo ya moyo.

Swali la mwisho: ni shughuli gani unataka kushiriki? Je, ni za nguvu kubwa, kama kukimbia? Ikiwa mpango wako wa mazoezi unahusisha mazito, unaweza kuonana na daktari kwanza, hususani kama umekuwa mtu wa kukaakaa tu.

Ukijibu "ndiyo" kwa mojawapo ya maswali hayo juu, kwa hakika unapaswa kupima moyo kwanza kwani unaweza kuwa katika hatari kubwa zaidi ya kupata tatizo la moyo wakati wa mazoezi.

Watu wanapaswa kujua nini kuhusu hatari ya mshtuko wa moyo au masuala mengine ya moyo wakati wa mazoezi?

Uwezekano wa kuwa na mshtuko wa moyo au tatizo la moyo wakati wa mazoezi ni mdogo sana. Hata tukio la juzi la Songea, ni kati ya matukio machache ya kuhesabika.

Hivyo inashauriwa, unapaswa kuanza mazoezi madogomadogo na polepole kila wakati. Usianze ghafla mazoezi makubwa, kama kukimbia umbali, mrefu kwa muda, na kadhalika. Kwa wale wenye uwezo wanaweza mtafuta mkufunzi kama mfiziotherapia anayeweza kusimamia programu zao za mazoezi anayeweza kukusaidia kujenga nyongeza za kiwango cha mazoezi kwa usahihi.

Ikiwa huna dalili au dalili za matatizo yoyote, lakini bado huna uhakika kuhusu afya ya moyo wako, nenda kituo cha afya umwone daktari. Yeye anaweza kukusaidia kujua kama unaweza kufaidika na upimaji wowote unaohusiana na magonjwa ya moyo kabla ya kuanza programu yako ya mazoezi.
Kuna Afisa wa Serikali huko songea amepoteza maisha kwenye joging jana. Prof. Janabi yuko sahihi kiasi fulani, mazoezi si kwa kila mtu.
 
  • Haina uhalisia
  • Kauli yake itawafanya watu wengi waogope mazoezi
  • Hatuna vituo vya kutosha vya kufanya uchunguzi kama huo
  • Ni gharama kufanya chunguzi
  • Watu wangapi umewasikia wakifa kwa sababu ya kufanya mazoezi?
  • Madhara yake hutokea kwa nadra sana.

Kumekuwa na elimu nyingi zinazotolewa na daktari anayeitwa Prof. Janabi, ambazo zinasaidia jamii. Bahati mbaya baadhi ya mafunzo yake, ambayo yanaaminika sana na jamii huwa na makosa ya kitabibu.

Watu wengi wamesikiliza clip yake ya mwaka jana inayowashauri watanzania kwamba wanapaswa kuonana na daktari wao kuchunguza afya za mioyo yao kabla ya kuanza mazoezi yoyote. Clip hii ya mwaka jana, ime trend sana baada ya Manager wa TANROAD Mkoa wa Ruvuma kufariki wakati akifanya mazoezi.

Ni muhimu kutambua kwamba madaktari huwa hawajui kila kitu, hivyo kwa Wizara ya Afya na Janabi mwenyewe, ni vyema akawa anatoa masomo kwa maeneo aliyobobea nayo, kwani akikosea kufundisha vitu ambavyo hana ujuvi navyo, bado jamii itamuamini maana haijui kitu.

Ni kweli kwamba mwongozo wa kila mtu kufanyiwa uchunguzi wa moyo au afya na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi, ulikuwapo miaka hadi miaka ya karibuni ulipobadilishwa hasa kwa watu ambao wanajitambua kuwa na afya njema sawasawa na maelezo yangu hapo chini. Andiko hili halimaanishi kuwa uchunguzi wa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi sio muhimu kwa watu wote, lakini thread hii inasema sio muhimu kwa watu wengi.

Kwa nini watu wanapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza programu ya mazoezi?

Mapendekezo ya kimapokeo katika jumuiya ya afya yalikuwa kwamba kila mtu anapaswa kuchunguzwa na daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi. Hii ilikuwa inaongozwa na nadharia, kwamba unapoanza kufanya mazoezi ya wastani au mazito, kuna hatari kidogo ya kuongezeka kwa mashambulizi ya moyo au matatizo ya moyo.

Kwa hivyo uchunguzi wa moyo ungekuwa kuhakikisha kuwa mtu hana ugonjwa wa moyo ambao labda hajui - au kwamba hafanyi matibabu ya ugonjwa wa moyo alionao kwa sababu hana dalili zozote za kumtisha kwa kuwa hafanyi mazoezi, lakini dalili zitajitokeza au kuongezeka mara tu atakapoanza kufanya mazoezi.

Lakini miongozo hii ya huko nyuma imebadilika sana. Imegundulika kwamba kupendekeza kila mtu afanyiwe kwanza uchunguzi wa daktari kabla ya kuanza kufanya mazoezi kunaweza kunatengeneza vikwazo vinavyowazuia watu wengi kufanya mazoezi.

Hivyo nchi nyingi tunakonakili miongozo yao mfano kutoka American College of Sports Medicine wamerekebisha miongozo yao kuakisi hili. Lengo ni kuhakikisha kunakuwa na usalama wa mgonjwa na kutotengeneza kikwazo chochote cha kufanya mazoezi.

Je, nani anapaswa kuchunguzwa moyo kabla ya kuanza mazoezi?

Kwa miongozo ya sasa ni kwamba unapaswa ujiulize maswali matatu ya msingi kabla ya kuanza kufanya mazoezi.

Swali la kwanza: je, wewe kwa kawaida ni mtu wa kukaa tu (physically inactive)? Ikiwa inaamamisha shughuli zako za kila siku zinahusisha kukaa tu, unaweza kutaka kuonana na daktari kabla ya kuanza programu ya mazoezi ya kawaida wastani (si madogo).

Swali linalofuata: Una dalili za matatizo ya moyo? Au una matatizo mengine ya kiafya ambayo yanaweza kukufanya uwe na matatizo ya moyo? Kwa mfano, shinikizo la damu, ugonjwa wa figo, ugonjwa wa kisukari, na ugonjwa wa mapafu ni hali zote ambazo zinaweza kukuweka kwenye matatizo ya moyo.

Swali la mwisho: ni shughuli gani unataka kushiriki? Je, ni za nguvu kubwa, kama kukimbia? Ikiwa mpango wako wa mazoezi unahusisha mazito, unaweza kuonana na daktari kwanza, hususani kama umekuwa mtu wa kukaakaa tu.

Ukijibu "ndiyo" kwa mojawapo ya maswali hayo juu, kwa hakika unapaswa kupima moyo kwanza kwani unaweza kuwa katika hatari kubwa zaidi ya kupata tatizo la moyo wakati wa mazoezi.

Watu wanapaswa kujua nini kuhusu hatari ya mshtuko wa moyo au masuala mengine ya moyo wakati wa mazoezi?

Uwezekano wa kuwa na mshtuko wa moyo au tatizo la moyo wakati wa mazoezi ni mdogo sana. Hata tukio la juzi la Songea, ni kati ya matukio machache ya kuhesabika.

Hivyo inashauriwa, unapaswa kuanza mazoezi madogomadogo na polepole kila wakati. Usianze ghafla mazoezi makubwa, kama kukimbia umbali, mrefu kwa muda, na kadhalika. Kwa wale wenye uwezo wanaweza mtafuta mkufunzi kama mfiziotherapia anayeweza kusimamia programu zao za mazoezi anayeweza kukusaidia kujenga nyongeza za kiwango cha mazoezi kwa usahihi.

Ikiwa huna dalili au dalili za matatizo yoyote, lakini bado huna uhakika kuhusu afya ya moyo wako, nenda kituo cha afya umwone daktari. Yeye anaweza kukusaidia kujua kama unaweza kufaidika na upimaji wowote unaohusiana na magonjwa ya moyo kabla ya kuanza programu yako ya mazoezi.

1. Ungekuwa umeweka ka CV kako au kusema wewe ni Profesa nani kwenye maeneo kama yake ingependeza zaidi.

2. Sasa hii:

"Ni muhimu kutambua kwamba madaktari huwa hawajui kila kitu, hivyo kwa Wizara ya Afya na Janabi mwenyewe, ni vyema akawa anatoa masomo kwa maeneo aliyobobea nayo ..."

3. Si ndiyo kelele za chura, mkuu?
 
A
-Acha siasa Mkuu,
Ni vyema ukapata ushauri wa kitaalamu ujue aina na kiwango cha mazoezi ,
- kila mtu ana magonjwa yake hawa wanaoendesha marathon ni jambo zuri lakini ni vyema kuchukua kwa umakini,
-kwa elimu yangu ndogo ya afya na lishe nipo pamoja na prof. Matukio yamekuwa mengi na watu wengi hawana elimu ya mazoezi ,hawapimi afya, na wanachulia mambo kimzaa mzaa hasa wanpohisi dalili tofauti na miili yao
 
Tatizo la watanzania ni kubishia Watu wenye taaluma zao.
Mwenzako ni Daktari, tena Profesa, anazungumzia jambo kulingana na taaluma yake.
Sasa wewe unatoa maoni yako kwenye taaluma za Watu.

1. Kufanya kazi pekee yake ni mazoezi
2. Kula lishe bora inatosha hata usipofanya mazoezi.
Mle hamna profesa ni ujanja ujanja tu na sinema kibao....
 
Daah Watanzania mnatafuta njia ya kukwepa kufanya mazoezi kisa kauli ya Prof Wachezaji wanaopimwa kila kukicha na wanaposajiriwa vifo kwa Wachezaji vipo bado ingawaje swala la kupima afya ni muhimu mara kwa mara ila hili watakaoweza kufanya ni wachache sana kutokana na mazingira tuliyonayo...
 
Inasemekana jamaa alipofika katika mlima ambao kikawaida huwa wanatembea basi yeye aliamza kukimbia kwa kasi sana katika mlima huo jambo ambalo hata wenzake walishangaa kwamba inakuwaje leo anakimbia kwa kasi wakati kikawaida huwa anatembea katika huu mlima ?

Ni hatari sana kukimbia kwa kasi katika mlima kwani mlima unahitaji nguvu sana na moyo huwa unafanya kazi kwa kasi sana na hiyo inaweza kupelekea hali ya moyo kushindwa kupump damu na hatimae kuna voungo vitakosa damu na hata moyo wenyewe (coronary artery)
 
Daah Watanzania mnatafuta njia ya kukwepa kufanya mazoezi kisa kauli ya Prof Wachezaji wanaopimwa kila kukicha na wanaposajiriwa vifo kwa Wachezaji vipo bado ingawaje swala la kupima afya ni muhimu mara kwa mara ila hili watakaoweza kufanya ni wachache sana kutokana na mazingira tuliyonayo...
Mkuu mtu hasipokuwa na virus vya ukimwi tu ndio ana afya tofauti na hapo huna afya.
 
Back
Top Bottom